Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,071
me ni mdau wa filamu za kibongo lakini na choshwa kusikia chuki na visa vya awa wawili katika tasnia ya filamu, kwani wamekuwa na ugomvi na malumbano yasiyo natija sijui ni wivu wa mafanikio au nini? maana kila mwaka lazima wagombane sijui ni magazeti au wanaunda skendo tusi wasahau! lazima kunakitu kinaendele baini yao! bifu zao iziishi mara RAY Vs AUNT sitaki kusema Ray ni tatizo ila najiuliza kwa nini ni RAy? kwa nawaangalia sababu wao ndio wanasaidia tasnia hii kukua