RAY vs KANUMBA MPAKA LINI?

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,209
42,071
me ni mdau wa filamu za kibongo lakini na choshwa kusikia chuki na visa vya awa wawili katika tasnia ya filamu, kwani wamekuwa na ugomvi na malumbano yasiyo natija sijui ni wivu wa mafanikio au nini? maana kila mwaka lazima wagombane sijui ni magazeti au wanaunda skendo tusi wasahau! lazima kunakitu kinaendele baini yao! bifu zao iziishi mara RAY Vs AUNT sitaki kusema Ray ni tatizo ila najiuliza kwa nini ni RAy? kwa nawaangalia sababu wao ndio wanasaidia tasnia hii kukua
 
Mkuu Rutta,

Una moyo filamu za kiTanzania zina mapungufu mengi sana zaidi ya ugomvi wa Kanumba na Ray.
 
me ni mdau wa filamu za kibongo lakini na choshwa kusikia chuki na visa vya awa wawili katika tasnia ya filamu, kwani wamekuwa na ugomvi na malumbano yasiyo natija sijui ni wivu wa mafanikio au nini? maana kila mwaka lazima wagombane sijui ni magazeti au wanaunda skendo tusi wasahau! lazima kunakitu kinaendele baini yao! bifu zao iziishi mara RAY Vs AUNT sitaki kusema Ray ni tatizo ila najiuliza kwa nini ni RAy? kwa nawaangalia sababu wao ndio wanasaidia tasnia hii kukua
Wamefanya nini tena??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom