Nimemsikia Ray kwenye DW akidai eti umati wa watu uliohudhuria kuuaga mwili wa Kanumba ni mkubwa sana kuliko ule wa hayati mwl. Nyerere! Halafu eti kwenye tasnia ya filamu amebaki peke yake!
Ray acha kujiinua na wala hauko peke yako kama unavyodai. Halafu, hivi unajua Nyerere aliagwa kwa siku ngapi pale uwanja wa taifa, tena usiku na mchana? Unataka kusema umaarufu wa kanumba ni mkubwa sana kuliko ulivyokuwa / ulivyo ule wa Nyerere?
Anatakiwa afanye hesabu hizi,ni watu wangapi wamefariki baada ya 1999 alipokufa baba wa taifa,i mean watu hao wote walihudhuria kumuaga baba wa taifa,pamoja na wale waliohudhuria kwenye maziko ya kanumba wengi wao kama si wote walikuwepo kwenye msiba wa baba wa taifa,alafu akumbuke pia na huyo marehemu mwenyewe Kanumba alikuwepo kwenye msiba wa baba wa taifa,hapo ndio atagundui lipi tui na yapi maziwa!!!Nimemsikia Ray kwenye DW akidai eti umati wa watu uliohudhuria kuuaga mwili wa Kanumba ni mkubwa sana kuliko ule wa hayati mwl. Nyerere! Halafu eti kwenye tasnia ya filamu amebaki peke yake!
Ray acha kujiinua na wala hauko peke yako kama unavyodai. Halafu, hivi unajua Nyerere aliagwa kwa siku ngapi pale uwanja wa taifa, tena usiku na mchana? Unataka kusema umaarufu wa kanumba ni mkubwa sana kuliko ulivyokuwa / ulivyo ule wa Nyerere?
tena hasa baada ya Kanumba kufaHuyu jamaa kichwa kimeanza kuwa kikubwa na dharau zitazidi.
Kilaza yule.............
Kwanza uwezo wa sanaa alio nao mashaka matupu!
msamehe ndo uwezo wake wa kufanya ulinganifu ulipofikia!nyerere aligwa for days!
Afterall ni msanii usikute hakuwa serious!