Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
Nimemsikia Ray kwenye DW akidai eti umati wa watu uliohudhuria kuuaga mwili wa Kanumba ni mkubwa sana kuliko ule wa hayati mwl. Nyerere! Halafu eti kwenye tasnia ya filamu amebaki peke yake!
Ray acha kujiinua na wala hauko peke yako kama unavyodai. Halafu, hivi unajua Nyerere aliagwa kwa siku ngapi pale uwanja wa taifa, tena usiku na mchana? Unataka kusema umaarufu wa kanumba ni mkubwa sana kuliko ulivyokuwa / ulivyo ule wa Nyerere?
Ray acha kujiinua na wala hauko peke yako kama unavyodai. Halafu, hivi unajua Nyerere aliagwa kwa siku ngapi pale uwanja wa taifa, tena usiku na mchana? Unataka kusema umaarufu wa kanumba ni mkubwa sana kuliko ulivyokuwa / ulivyo ule wa Nyerere?