dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Unaonekana huna hata uelewa mzuri wa mambo ya siasa na kwa hiyo usitoe matusi hapa JF
ccm hawana chao. tumefanya utafiti na kugundua CHADEMA itashinda kwa kishindo. wenye ccm yao walishakufa wamebaki wapambe tu. hahahaaa...!!. poleni sana ccm. badilisheni jina la chama coz ccm imepoteza mvuto kwa watu wa bara na hio itadhihirika Arumeru.