Mahakama ya Rufani Itoe Ratiba ya Kesi Zote Walizonazo

Huihui2

JF-Expert Member
Jan 5, 2012
5,280
8,005
Kalenda ya Mahakama kwa mwaka 2024 ilianza rasmi tarehe 1/ 02/ 2024 na inatarajiwa itaisha pengine Desemba 15/ 12/ 2024.

Mahakama ya Rufani wametoa ratiba ya kesi za Februari 2024 peke yake. Halafu itakapofika mwishoni mwa mwezi Februari watatoa za mwezi Machi.

Huku chini kuanzia Mahakama za Mwanzo, Wilaya, Mkoa hadi Mahakama Kuu walalamikaji na walalamikiwa wote wanajua kesi zao zitasikilizwa lini au zitatajwa lini.

Kitendo cha Mahakama ya Rufani cha kutoa ratiba za session za mwezi mmoja mmoja kinaacha sintofahamu kubwa sana kwa walalamikaji au waleta maombi. Maana unakuwa umepeleka kesi yako na hujui itasikilizwa lini.

USHAURI:
Kutokana na maendeleo ya TEHAMA hususan Taasisi ya eGA, Mahakama ya Rufaa inaweza ikatoa ratiba ya sessions zote za mwaka mzima pale msimu wa Mahakama unapoanza.

Wataalamu wa Mahakama njooni hapa
 
Kalenda ya Mahakama kwa mwaka 2024 ilianza rasmi tarehe 1/ 02/ 2024 na inatarajiwa itaisha pengine Desemba 15/ 12/ 2024.

Mahakama ya Rufani wametoa ratiba ya kesi za Februari 2024 peke yake. Halafu itakapofika mwishoni mwa mwezi Februari watatoa za mwezi Machi.

Huku chini kuanzia Mahakama za Mwanzo, Wilaya, Mkoa hadi Mahakama Kuu walalamikaji na walalamikiwa wote wanajua kesi zao zitasikilizwa lini au zitatajwa lini.

Kitendo cha Mahakama ya Rufani cha kutoa ratiba za session za mwezi mmoja mmoja kinaacha sintofahamu kubwa sana kwa walalamikaji au waleta maombi. Maana unakuwa umepeleka kesi yako na hujui itasikilizwa lini.

USHAURI:
Kutokana na maendeleo ya TEHAMA hususan Taasisi ya eGA, Mahakama ya Rufaa inaweza ikatoa ratiba ya sessions zote za mwaka mzima pale msimu wa Mahakama unapoanza.

Wataalamu wa Mahakama njooni hapa
Naunga mkono hoja. Haina maana wala haiingii akilini kwa nini mlalamokaji asijue kesi au maombi yake yatasikilizwa lini.

Jaji Mkuu na Msajili wa Mahakama tumieni teknolojia ya mawasiliano kupanga mambo yenu. Hayo mafaili ya makaratasi yalikwisha pitwa na muda
 
Kabla ya kulileta humu ulichukua hatua gani za kiofisi?
Nimekwisha lalamika sana hata kuandika barua lakini Msajili anajibu kirahisi tu "tumepata barua yako na inashughulikiwa". Lakini ratiba zikitoka sioni jina langu.

Hii ni painful kukaa ukiwa umepeleka suala lako halafu hujui ni lini litafanyiwa usikilizaji.

Haki inayocheweshwa, ni haki inayopotea
 
Kalenda ya Mahakama kwa mwaka 2024 ilianza rasmi tarehe 1/ 02/ 2024 na inatarajiwa itaisha pengine Desemba 15/ 12/ 2024.

Mahakama ya Rufani wametoa ratiba ya kesi za Februari 2024 peke yake. Halafu itakapofika mwishoni mwa mwezi Februari watatoa za mwezi Machi.

Huku chini kuanzia Mahakama za Mwanzo, Wilaya, Mkoa hadi Mahakama Kuu walalamikaji na walalamikiwa wote wanajua kesi zao zitasikilizwa lini au zitatajwa lini.

Kitendo cha Mahakama ya Rufani cha kutoa ratiba za session za mwezi mmoja mmoja kinaacha sintofahamu kubwa sana kwa walalamikaji au waleta maombi. Maana unakuwa umepeleka kesi yako na hujui itasikilizwa lini.

USHAURI:
Kutokana na maendeleo ya TEHAMA hususan Taasisi ya eGA, Mahakama ya Rufaa inaweza ikatoa ratiba ya sessions zote za mwaka mzima pale msimu wa Mahakama unapoanza.

Wataalamu wa Mahakama njooni hapa

Kesi ya Mdee ndio factor. Wanataka kuipiga kaenda mpaka mwakani ndio waisikilize. Mahakama ya Rufaa ya kijinga .
 
Sasa hivi hakuna mambo ya kiofisi ni TEHAMA
Ninavyofahamu, Mawakili ni Maafisa na wadau wa mahakama; na wao huwa sehemu ya maamuzi ya mahakama.

Kitendo cha kuja kulalamika humu JF ni utovu wa nidhamu na ni kama mmeshindwa kushirikiana na mahakama vizuri
 
Nimekwisha lalamika sana hata kuandika barua lakini Msajili anajibu kirahisi tu "tumepata barua yako na inashughulikiwa". Lakini ratiba zikitoka sioni jina langu.

Hii ni painful kukaa ukiwa umepeleka suala lako halafu hujui ni lini litafanyiwa usikilizaji.

Haki inayocheweshwa, ni haki inayopotea
Taratibu za kazi yako zinakuongozaje; kwamba mbali na kwa Msajili hakuna mamlaka nyingine ya kufika?
 
Taratibu za kazi yako zinakuongozaje; kwamba mbali na kwa Msajili hakuna mamlaka nyingine ya kufika?
Kama uko Mahakama ya Rufani Tanzania, nakushauri chukua huu ushauri kaufanyieni kwa ajili ya kuleta tija. Kuanza kunizodoa inaonekana unataka kupoteza lengo la mada.

Mimi nimeshauri kuwa chukueni kesi zote ambazo mumezipokea then zimekeeni kalenda ya session ya mwaka mzima. Siyo lazima mupange majopo kwa sasa bali onyesha tu kesi namba 100/ 2019 itasikilizwa mwezi September 2024 kwa mfano.

Hii itamsaidia mleta maombi au mrufani kujua ratiba na kuendelea na kazi zake hadi mwezi September 2024.

Kwani ndugu Kindeena huko Mahakamani hamjaingia kwenye electronic documents management?
 
Ninavyofahamu, Mawakili ni Maafisa na wadau wa mahakama; na wao huwa sehemu ya maamuzi ya mahakama.

Kitendo cha kuja kulalamika humu JF ni utovu wa nidhamu na ni kama mmeshindwa kushirikiana na mahakama vizuri
Unapoona mtu amekuja mpaka JF kwa suala kama hili ujue mfumo wa kutoa huduma umekufa.

Hata huyu Makonda anapofuatwa na wananchi utambue tu kuwa mfumo wa utendaji wa Mahakama ni Muflisi.

Mbona hata Mwanasheria Mkuu Eleazer Feleshi amekiri kwenye siku ya wiki ya sheria nchini mbele ya Rais Samia.

Ninini wewe hukielewi?
 
Unapoona mtu amekuja mpaka JF kwa suala kama hili ujue mfumo wa kutoa huduma umekufa.

Hata huyu Makonda anapofuatwa na wananchi utambue tu kuwa mfumo wa utendaji wa Mahakama ni Muflisi.

Mbona hata Mwanasheria Mkuu Eleazer Feleshi amekiri kwenye siku ya wiki ya sheria nchini mbele ya Rais Samia.

Ninini wewe hukielewi?
Kindeena unatakiwa huku kujibu hii hoja
 
Kumbe Kuna kundi la wapumbavu bado wanaamini Tanzania Kuna mahakama? Nachelea kusema kwamba ndoto ya Nyerere kufuta ujinga bado sana.

Mahakama na majaji ni kundi la wapumbavu,ndio maana Kuna kiongozi aliwahi chana karatasi ya hukumu ya Jaji(kwa sasa mstaafu).
 
Back
Top Bottom