Rasmi: Simba SC yamtambulisha Mshambuliaji hatari raia wa Serbia

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,244
103,937
Klabu ya Simba katika kuendelea kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya maandalizi ya Ligi Kuu na michuano ya Kimataifa msimu wa 2022/23, leo Agosti 7, 2022 wametangaza rasmi kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa magoli, Dejan Georgijevic (28) raia wa Serbia kwa mkataba wa miaka miwili akitokea NK Domzale FC ya nchini Slovenia.

"Taarifa rasmi ikufikie kwamba mshambuliaji wa magoli, mchezaji wa kimataifa kutoka nchini Serbia ni Dejan Georgijevic ni MNYAMA". Imeeleza kwa ufupi taarifa kutoka kwa Klabu ya Simba SC.

Leo hakuna kumpumzika. Overdose mwanzo mwisho

4DAE7751-292D-47EC-9B23-D441A4C38595.jpeg

4F5E893C-E877-4E7A-B954-894B68180EBB.jpeg

3DE1F28D-A3A7-4EA7-B1BE-2C8F3CE011EC.jpeg

94DFAAE5-D2FE-4746-A6B9-1E5FA447A258.jpeg
 
Klabu ya Simba katika kuendelea kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya maandalizi ya Ligi Kuu na michuano ya Kimataifa msimu wa 2022/23, leo Agosti 7, 2022 wametangaza rasmi kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa magoli, Dejan Georgijevic (28) raia wa Serbia kwa mkataba wa miaka miwili akitokea NK Domzale FC ya nchini Slovenia.

"Taarifa rasmi ikufikie kwamba mshambuliaji wa magoli, mchezaji wa kimataifa kutoka nchini Serbia ni Dejan Georgijevic ni MNYAMA". Imeeleza kwa ufupi taarifa kutoka kwa Klabu ya Simba SC.

Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
 
Yanga hayakuwa malengo yao kuishia kwa Aziz Ki, walikuwa na mpango madhubuti wa kusajili zaidi ya pale

Azizi Ki ni mtu fulani selfish sana yani robo tatu ya bajeti yote kachukua yeye na ile iliyotengwa kwa ajili ya kambi nayo kaipitia

Hiyo tisa, kumi ni kwamba jana hata la offside hatujaliona
 
Huyo mzungu akiwa mgumu ataifanya kazi, lakini kuwa namba 9 peke yake hatoshi, huyo Manzoki sijui watamficha mpaka lini.

Either kutoa pesa wamchukue, au wasubiri mkataba wake Vipers uishe wamchukue bure, a matter of time, huyu mzungu atakuwa short term solution, sio mbaya kuliko kukosa mtu kabisa.
 
Back
Top Bottom