Joshua Bukuru
Member
- Apr 16, 2011
- 76
- 95
Wadau,
Pitia rasimu ya 2 ya katiba. Mimi sijaona mengi mapya tofauti na ile ya kwanza isipokuwa ibara kuongezeka kwenda 260 na ushee.
Lakini inahitajika muda zaidi kuisoma na kuichambua ili kugundua mawazo ya mabaraza ya katiba.
Naomba kuwasilisha
Joshua Bukuru
Brussels
Pitia rasimu ya 2 ya katiba. Mimi sijaona mengi mapya tofauti na ile ya kwanza isipokuwa ibara kuongezeka kwenda 260 na ushee.
Lakini inahitajika muda zaidi kuisoma na kuichambua ili kugundua mawazo ya mabaraza ya katiba.
Naomba kuwasilisha
Joshua Bukuru
Brussels