Puppy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,995
- 2,494
Wanaotakiwa kuwafundisha wadogo zetu heshima ya Bendera wanabadili mitaala daily. Wako busy wanachumia matumbo yao.
Kama unabisha nenda kwa kiongozi yeyote now mwambie akuimbie nyimbo ya "Tanzania Tanzania Nakupenda kwa moyo wote, nchi yangu Tanzania......" japo beti mbili kama uwasikii wakinyingata ngata. Lakini waulize mikataba yenye 10% inakuja lini? Watakutajia mpaka wajukuu wa hao investors...
Kama unabisha nenda kwa kiongozi yeyote now mwambie akuimbie nyimbo ya "Tanzania Tanzania Nakupenda kwa moyo wote, nchi yangu Tanzania......" japo beti mbili kama uwasikii wakinyingata ngata. Lakini waulize mikataba yenye 10% inakuja lini? Watakutajia mpaka wajukuu wa hao investors...