Single D
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 457
- 14
Nimekumbuka wimbo nilioimba miaka mingi iliyopita kuhusu bendera ya Tanzania
..Bendera ya Tanzania, ndiyo ya kujivunia Ilianza kupepea mwaka sitini na moja............................................
Bendera ya Taifa Kutumika katika mambo ya kutangaza nchi jambo zuri kwa kuwa ni alama mojawapo ya Taifa letu
..Bendera ya Tanzania, ndiyo ya kujivunia Ilianza kupepea mwaka sitini na moja............................................
Bendera ya Taifa Kutumika katika mambo ya kutangaza nchi jambo zuri kwa kuwa ni alama mojawapo ya Taifa letu