Mzee sikubahatika ila baada ya kuangalia mara nyingi ndo nikaiona tarehe. Ila nasubiria sana siku JPM atakapofanya tukio kama hilo. Itakuwa bonge la historia!Teh teh
Hukusoma tarehe mkuu
Mzee sikubahatika ila baada ya kuangalia mara nyingi ndo nikaiona tarehe. Ila nasubiria sana siku JPM atakapofanya tukio kama hilo. Itakuwa bonge la historia!
Mzee ngoja tusubiri ipo siku tutamuona CNN akitwanga ng'eng'e la nguvuEndelea kusubiria meli airport. Na kama hiyo meli ikija. Haitamaliza safari yake salama na kama ikimaliza safari salama itakua safari ya kihistoria na kila mtu atamkubali.
Mzee ngoja tusubiri ipo siku tutamuona CNN akitwanga ng'eng'e la nguvu
Mzee ngoja tusubiri ipo siku tutamuona CNN akitwanga ng'eng'e la nguvu
Teh teh, Mzee ngoja wamfuate ili tumsikie akimwaga ng'eng'eday dreaming........kwanza wakimwita lazima akatae kibabe na wakimfuata huku ndio watajuta kumfaham
Teh teh, Mzee ngoja wamfuate ili tumsikie akimwaga ng'eng'e
Ingetafutwa neno zuri na lenye staha, hili neno kunyoosha linaleta ukakasi sana kwa waungwana. Na hiyo ndiyo ingekuwa kauli mbiu yake.lazima atagoma tu hana muda na hayo mambo sasa hivi anavinyoosha kwanza vitoto vya shule vinavyopenda kuambiwa i love you. juzi sengerema alivichimba bonge la mkwara mpaka vikawa vinatetemeka.