Rais wa Tanzania kufanya mahojiano na MSNBC-Andrea Mitchel

Teh teh
Hukusoma tarehe mkuu
Mzee sikubahatika ila baada ya kuangalia mara nyingi ndo nikaiona tarehe. Ila nasubiria sana siku JPM atakapofanya tukio kama hilo. Itakuwa bonge la historia!
 
Mzee sikubahatika ila baada ya kuangalia mara nyingi ndo nikaiona tarehe. Ila nasubiria sana siku JPM atakapofanya tukio kama hilo. Itakuwa bonge la historia!

Endelea kusubiria meli airport. Na kama hiyo meli ikija. Haitamaliza safari yake salama na kama ikimaliza safari salama itakua safari ya kihistoria na kila mtu atamkubali.
 
Endelea kusubiria meli airport. Na kama hiyo meli ikija. Haitamaliza safari yake salama na kama ikimaliza safari salama itakua safari ya kihistoria na kila mtu atamkubali.
Mzee ngoja tusubiri ipo siku tutamuona CNN akitwanga ng'eng'e la nguvu
 
Teh teh, Mzee ngoja wamfuate ili tumsikie akimwaga ng'eng'e

lazima atagoma tu hana muda na hayo mambo sasa hivi anavinyoosha kwanza vitoto vya shule vinavyopenda kuambiwa i love you. juzi sengerema alivichimba bonge la mkwara mpaka vikawa vinatetemeka.
 
lazima atagoma tu hana muda na hayo mambo sasa hivi anavinyoosha kwanza vitoto vya shule vinavyopenda kuambiwa i love you. juzi sengerema alivichimba bonge la mkwara mpaka vikawa vinatetemeka.
Ingetafutwa neno zuri na lenye staha, hili neno kunyoosha linaleta ukakasi sana kwa waungwana. Na hiyo ndiyo ingekuwa kauli mbiu yake.
 
Back
Top Bottom