Rais wa Serikali ya Wanafunzi UDOM afukuzwa bila sababu za msingi

chuuma

JF-Expert Member
May 19, 2015
363
557
RAIS WA CHUO KIKUU CHA UDOM BW VICTOR BYEMELWA AFUKUZWA CHUO, WANAFUNZI WAPANGA KUONANA NA RAIS DR MAGUFULI

Kutokana na mkakati ulio wekwa na viongozi wa ccm wakishirikiana na Utawala wa chuo kikuu cha dodoma wameamua kuutekeleza jana

Ambapo wameamua kumufukuza chuo Rais wa wanafunzi ambae inasemekana sio wa Mlengo wao kwa kisingizio cha kuwa ameitasha College Baraza bila Ruhusa ya mshauri wa Wanafunzi yaani (Dean of Student).


Lakini katika katiba ya UDOSO Ibara 19(ii) inampa yeye kama Rais wa Chuo kuitisha Baraza la college kusikiliza kero za wanafunzi.

Basi tukokana na hilo Mwanasheria Tundu Lisu amaamua kumpigania kijana huyo apate haki yake ya kusoma na vile vile na kulipwa fidia ya ukandamizaji wa haki hii uliojitokeza

Sambamba na hayo vijana zaidi ya 50 wa Udom wamwandikia Barua Rais John Pombe Magufuli ili kuonana naye ili wamuambie suala hili maana Rais alisema katika kampen zake yeye atakuwa ni Rais wa wote na kumuomba kiongozi wao arudishwe chuoni kuendelea na masomo

Hadi sasa wanasubir watoe ushaidi wa jinsi gani utawala wa chuo cha Dodoma wamekuwa wakikandamiza haki za wanafunzi mfano kuweka pesa za mikopo ya wanafunzi kwenye Fixed account ili wajipatie faida

Ikiambatana na kuwachangisha wanafunzi Pesa za Bima ya Afya shilingi 100000 mwaka 2015 kinyume na utaratibu wakawaida ambao ni shilingi 50400 pia kuwalazimisha hata wenye bima kulipa kiasi hicho.

Imefika wakati wameanza kuchangisha pesa ya Ambulance shiling 25000 hadi sasa utawala ni majipu. Hivyo basi wanafunzi hao wanasubiri barua ya majibu kutoka ikulu ili kufikisha kilio chao
 
Mahakama ndio jibu
Japo napata wasiwasi na ahadi ya billion 200 waliyoahidiwa na Magufuli.
Activist tutapaza sauti tukipewa nguvu na ushindi wa Juliane Assange.

Ila pale Udom kuna lodi lofa
Ni kupiga hatua kwa umakini.

Bwana mdogo apambanie haki yake nampa moyo.
Japo aanzie ndani, kuapeal kwenye hiyo displineary commitee iliyomfukuza.
Atafute ushauri wa kisheria juu ya kipengele kilichomfukuzisha.

Ana chance, tumeshashuhudia maamuzi kama haya yakivipa vyuo hasara na kutajirisha watu.
Komaa bwana mdogo.
 
Halafu wanafunzi kuweni wabunifu kwenye kufanya harakati.
Mbinu zinaenda zinabadilika.

Mnaweza kujipanga wote kumsalimia mkuu wa chuo kila siku kwa kuandamana bila kuvunja sheria.
mnaanza hata saa moja na nusu asubuhi mpaka saa mbili.
kila siku mpaka haki ipatikane.
 
RAIS WA CHUO KIKUU CHA UDOM BW VICTOR BYEMELWA AFUKUZWA CHUO, WANAFUNZI WAPANGA KUONANA NA RAIS DR MAGUFULI

Kutokana na mkakati ulio wekwa na viongozi wa ccm wakishirikiana na Utawala wa chuo kikuu cha dodoma wameamua kuutekeleza jana

Ambapo wameamua kumufukuza chuo Rais wa wanafunzi ambae inasemekana sio wa Mlengo wao kwa kisingizio cha kuwa ameitasha College Baraza bila Ruhusa ya mshauri wa Wanafunzi yaani (Dean of Student).


Lakini katika katiba ya UDOSO Ibara 19(ii) inampa yeye kama Rais wa Chuo kuitisha Baraza la college kusikiliza kero za wanafunzi.

Basi tukokana na hilo Mwanasheria Tundu Lisu amaamua kumpigania kijana huyo apate haki yake ya kusoma na vile vile na kulipwa fidia ya ukandamizaji wa haki hii uliojitokeza

Sambamba na hayo vijana zaidi ya 50 wa Udom wamwandikia Barua Rais John Pombe Magufuli ili kuonana naye ili wamuambie suala hili maana Rais alisema katika kampen zake yeye atakuwa ni Rais wa wote na kumuomba kiongozi wao arudishwe chuoni kuendelea na masomo

Hadi sasa wanasubir watoe ushaidi wa jinsi gani utawala wa chuo cha Dodoma wamekuwa wakikandamiza haki za wanafunzi mfano kuweka pesa za mikopo ya wanafunzi kwenye Fixed account ili wajipatie faida

Ikiambatana na kuwachangisha wanafunzi Pesa za Bima ya Afya shilingi 100000 mwaka 2015 kinyume na utaratibu wakawaida ambao ni shilingi 50400 pia kuwalazimisha hata wenye bima kulipa kiasi hicho.

Imefika wakati wameanza kuchangisha pesa ya Ambulance shiling 25000 hadi sasa utawala ni majipu. Hivyo basi wanafunzi hao wanasubiri barua ya majibu kutoka ikulu ili kufikisha kilio chao
mnafanya jeuri mnafikiri utawala wa kikwete wa kuleta fujo
 
RAIS WA CHUO KIKUU CHA UDOM BW VICTOR BYEMELWA AFUKUZWA CHUO, WANAFUNZI WAPANGA KUONANA NA RAIS DR MAGUFULI

Kutokana na mkakati ulio wekwa na viongozi wa ccm wakishirikiana na Utawala wa chuo kikuu cha dodoma wameamua kuutekeleza jana

Ambapo wameamua kumufukuza chuo Rais wa wanafunzi ambae inasemekana sio wa Mlengo wao kwa kisingizio cha kuwa ameitasha College Baraza bila Ruhusa ya mshauri wa Wanafunzi yaani (Dean of Student).


Lakini katika katiba ya UDOSO Ibara 19(ii) inampa yeye kama Rais wa Chuo kuitisha Baraza la college kusikiliza kero za wanafunzi.

Basi tukokana na hilo Mwanasheria Tundu Lisu amaamua kumpigania kijana huyo apate haki yake ya kusoma na vile vile na kulipwa fidia ya ukandamizaji wa haki hii uliojitokeza

Sambamba na hayo vijana zaidi ya 50 wa Udom wamwandikia Barua Rais John Pombe Magufuli ili kuonana naye ili wamuambie suala hili maana Rais alisema katika kampen zake yeye atakuwa ni Rais wa wote na kumuomba kiongozi wao arudishwe chuoni kuendelea na masomo

Hadi sasa wanasubir watoe ushaidi wa jinsi gani utawala wa chuo cha Dodoma wamekuwa wakikandamiza haki za wanafunzi mfano kuweka pesa za mikopo ya wanafunzi kwenye Fixed account ili wajipatie faida

Ikiambatana na kuwachangisha wanafunzi Pesa za Bima ya Afya shilingi 100000 mwaka 2015 kinyume na utaratibu wakawaida ambao ni shilingi 50400 pia kuwalazimisha hata wenye bima kulipa kiasi hicho.

Imefika wakati wameanza kuchangisha pesa ya Ambulance shiling 25000 hadi sasa utawala ni majipu. Hivyo basi wanafunzi hao wanasubiri barua ya majibu kutoka ikulu ili kufikisha kilio chao
Wewe mwenyewe mleta mada nadhani akili yako kama ya kubenea tu kuingia bungeni badala ya kujadili matatizo ya watu waliomchagua anapigania shnga za wabunge wa ukawa ,mwanafunzi anafanya fujo chuoni pamoja na siasa unataka achekewe kwani yeye ni nani manin zake.
 
Wewe mwenyewe mleta mada nadhani akili yako kama ya kubenea tu kuingia bungeni badala ya kujadili matatizo ya watu waliomchagua anapigania shnga za wabunge wa ukawa ,mwanafunzi anafanya fujo chuoni pamoja na siasa unataka achekewe kwani yeye ni nani manin zake.
We jamaa unamdhalilisha sana huyo jamaa kwenye avatar yako maana sidhani kama jamaa mjinga hivi. Wapi mleta maada kaandika kuwa jamaa alikuwa anafanya siasa?

Umekomalia shanga na za kwako zilikatwa?
 
Ukimuona MTU jamii forum anakuambia anayefanya siasa chuoni ni mjinga basi tambua kuwa akupata elimu ya juu unapaswa kumsikitikia sana,viongozi wazuri katika mataifa yote duniani waliazia chuo kikuu,Mimi ni ccm damu ila siungi ushabiki wa mayai ya kwaree
 
Kesi za vyuoni sio za kupelekwa mahakamani maana huko yaweza kuisha baada ya miaka 5. Hivyo ni afadhali kwenda chuo kingine kuanza upya kuliko kuanzisha kesi na chuo. Chuoni mnatakiwa kupiga presha tu, mnagoma wenzenu wanarudishwa. Ndivyo watu watata kama Zitto, Bahati n.k walivyoweza kumaliza chuo UDSM. Kama kugoma hakuwezekani basi mtulie tu.
 
kuna tatizo udom sio siri inabidi lishughulikiwe maana malalamiko kuhusu udom ni mengi sana
 
Back
Top Bottom