Tunamsubiri kwa hamu kubwa sana kumsikia mama yetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini, nuru ya wanyonge na jemedari wetu mpambanaji ambaye wakati wote yupo vitani katika kuwapigania Watanzania wanyonge kuhakikisha kuwa wanainuka kiuchumi na kupata tabasamu katika mioyo yetu.

Watanzania tuna imani kubwa sana na Rais samia,tunampenda,kumuamini na tuna matarajio makubwa sana na uongozi wake.kakata kiu yetu iliyokuwa katika mioyo yetu.katupatia kila kitu tulichohitaji,kagusa maisha yetu na kuleta matumaini katika kutimiza ndoto zetu watanzania.
Tupo msibani alafu unaleta ngonjera bwana mdogo
 
Tunamsubiri kwa hamu kubwa sana kumsikia mama yetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini, nuru ya wanyonge na jemedari wetu mpambanaji ambaye wakati wote yupo vitani katika kuwapigania Watanzania wanyonge kuhakikisha kuwa wanainuka kiuchumi na kupata tabasamu katika mioyo yetu.

Watanzania tuna imani kubwa sana na Rais samia,tunampenda,kumuamini na tuna matarajio makubwa sana na uongozi wake.kakata kiu yetu iliyokuwa katika mioyo yetu.katupatia kila kitu tulichohitaji,kagusa maisha yetu na kuleta matumaini katika kutimiza ndoto zetu watanzania.
Ushaanza kuvimba bichwa sasa.
 
Tunamsubiri kwa hamu kubwa sana kumsikia mama yetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini, nuru ya wanyonge na jemedari wetu mpambanaji ambaye wakati wote yupo vitani katika kuwapigania Watanzania wanyonge kuhakikisha kuwa wanainuka kiuchumi na kupata tabasamu katika mioyo yetu.

Watanzania tuna imani kubwa sana na Rais samia,tunampenda,kumuamini na tuna matarajio makubwa sana na uongozi wake.kakata kiu yetu iliyokuwa katika mioyo yetu.katupatia kila kitu tulichohitaji,kagusa maisha yetu na kuleta matumaini katika kutimiza ndoto zetu watanzania.
Wakutanikapo tai ndipo mzoga ungalipo je tai tunakutanika wapi? Wamasai watakuwa na furaha sana leo mungu kaingilia kati.
 
Back
Top Bottom