Lakini wengine hawajui hayo !Dunia mapirto
Mbona thread ziko kitambo tu humu kabla hata ya Lowasa!?Kwani tangu lini ??!
WAKUTANIKAPO TAI NDIPO MZOGA UNGALIPO ...wema hawafiRais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia akiwa na umri wa miaka 98.
Taarifa hii imetolewa usiku huu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.
View attachment 2920484
Huyu jamaa anakera sana unajua..dr umeona isiwe tabu
Ova
Tupo msibani alafu unaleta ngonjera bwana mdogoTunamsubiri kwa hamu kubwa sana kumsikia mama yetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini, nuru ya wanyonge na jemedari wetu mpambanaji ambaye wakati wote yupo vitani katika kuwapigania Watanzania wanyonge kuhakikisha kuwa wanainuka kiuchumi na kupata tabasamu katika mioyo yetu.
Watanzania tuna imani kubwa sana na Rais samia,tunampenda,kumuamini na tuna matarajio makubwa sana na uongozi wake.kakata kiu yetu iliyokuwa katika mioyo yetu.katupatia kila kitu tulichohitaji,kagusa maisha yetu na kuleta matumaini katika kutimiza ndoto zetu watanzania.
Wewe ndio mjinga, kabla ya Rais kuhutubia Taifa ilikuja taarifa ya breaking news, haikuwa imewekwa wazi kama ni msiba.Ficha ujinga wako.Utani kwenye msiba ni dalili ya malezi ya ovyo.
Mwenyezi Mungu amlaze mahli pema peponi.
Duh !Mbona thread ziko kitambo tu humu kabla hata ya Lowasa!?
Ushaanza kuvimba bichwa sasa.Tunamsubiri kwa hamu kubwa sana kumsikia mama yetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini, nuru ya wanyonge na jemedari wetu mpambanaji ambaye wakati wote yupo vitani katika kuwapigania Watanzania wanyonge kuhakikisha kuwa wanainuka kiuchumi na kupata tabasamu katika mioyo yetu.
Watanzania tuna imani kubwa sana na Rais samia,tunampenda,kumuamini na tuna matarajio makubwa sana na uongozi wake.kakata kiu yetu iliyokuwa katika mioyo yetu.katupatia kila kitu tulichohitaji,kagusa maisha yetu na kuleta matumaini katika kutimiza ndoto zetu watanzania.
Kwanini wasingesubiri tu watangaze kesho? Kwahiyo ndio kusema kuadhimisha siku ya kifo chake itakuwa hadi baada ya miaka minne?Rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia akiwa na umri wa miaka 98.
Taarifa hii imetolewa usiku huu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.
View attachment 2920484
Wakutanikapo tai ndipo mzoga ungalipo je tai tunakutanika wapi? Wamasai watakuwa na furaha sana leo mungu kaingilia kati.Tunamsubiri kwa hamu kubwa sana kumsikia mama yetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini, nuru ya wanyonge na jemedari wetu mpambanaji ambaye wakati wote yupo vitani katika kuwapigania Watanzania wanyonge kuhakikisha kuwa wanainuka kiuchumi na kupata tabasamu katika mioyo yetu.
Watanzania tuna imani kubwa sana na Rais samia,tunampenda,kumuamini na tuna matarajio makubwa sana na uongozi wake.kakata kiu yetu iliyokuwa katika mioyo yetu.katupatia kila kitu tulichohitaji,kagusa maisha yetu na kuleta matumaini katika kutimiza ndoto zetu watanzania.