Masikio Masikio
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 1,840
- 3,376
Kipindi cha Rais samia cha sasa kuna mambo mengi yamekua hayaendi sawa Kupanda kwa vitu bei ila kwenye suala la kuruhusu maandamano ameonyesha busara na hekima ya hali ya juu sana kitu ambacho marais waliotangulia walikosa
Kipindi cha magufuli kuna dada wa kitanzania anayeishi marekani sahivi ni billionaire kwa habari za umbeya alitishia maandamano nguvu ambazo magufuli alizitumia zilikua ni kubwa sana mixer ndege za kivita zilikua zinapita kwenye makazi ya watu alionyesha kutokua mstaarabu, kukosa busara na hekima kwa kiwango cha juu sana. Mara nyingi sana magufuli alikua anavunja katiba wazi-wazi yaan magufuli alikua anaifuata katiba anapojisikia au inaposuit his agenda
Maandamano ya 2002 kulikua na matumizi ya nguvu makubwa sana mpaka lipumba amavunjwa mkono na watu kadhaa kuuliwa baadae mkapa alisema lile tukio analijutia sana ila anasema alishauriwa vibaya
Katiba ya Tanzania inampa Rais option ya kutokuifuata na mda huo huo inampa hakikisho la kumlinda ashishtakiwe, yaan Rais wa Tanzania anaweza akawa dikteta na bado katiba ikamlinda sababu akiondoka madarakani ashtakiwi
Katiba inaruhusu maandamano lakin Rais anaweza zuia maandamano kwa utashi wake na still katiba ikaendelea kumlinda kushrakiwa hata baada ya
Kumaliza kipindi chake cha urais
Mnyonge mnyongeni ila kwenye hili Rais samia anahitaji pongezi sana
Kipindi cha magufuli kuna dada wa kitanzania anayeishi marekani sahivi ni billionaire kwa habari za umbeya alitishia maandamano nguvu ambazo magufuli alizitumia zilikua ni kubwa sana mixer ndege za kivita zilikua zinapita kwenye makazi ya watu alionyesha kutokua mstaarabu, kukosa busara na hekima kwa kiwango cha juu sana. Mara nyingi sana magufuli alikua anavunja katiba wazi-wazi yaan magufuli alikua anaifuata katiba anapojisikia au inaposuit his agenda
Maandamano ya 2002 kulikua na matumizi ya nguvu makubwa sana mpaka lipumba amavunjwa mkono na watu kadhaa kuuliwa baadae mkapa alisema lile tukio analijutia sana ila anasema alishauriwa vibaya
Katiba ya Tanzania inampa Rais option ya kutokuifuata na mda huo huo inampa hakikisho la kumlinda ashishtakiwe, yaan Rais wa Tanzania anaweza akawa dikteta na bado katiba ikamlinda sababu akiondoka madarakani ashtakiwi
Katiba inaruhusu maandamano lakin Rais anaweza zuia maandamano kwa utashi wake na still katiba ikaendelea kumlinda kushrakiwa hata baada ya
Kumaliza kipindi chake cha urais
Mnyonge mnyongeni ila kwenye hili Rais samia anahitaji pongezi sana