hili nalo ni swali nyeti sana. Watu wanalikwepa sana.Kwahiyo hao watu wamevamia Magu alipofariki au?
Majibu mepesi kujibu maswali mazito.Leo akiwa mkoani Mwanza mama Samia amesema binadamu na kudra za mwenyezi Mungu ndio sababu za uhaba wa maji na mgao wa umeme.
Vipi kwa wale waliokataa kuwa hakuna mgao wa umeme?
Leo mama mwenye kasema, au kaongopa? Au kajisahau? Kajichanganya?
View attachment 2015206
We ni mfugaji!??...ng'ombe wanagonga maji Kama mzaha vileJaribuni kuepuka uongo majukwaani.
Ungekua wewe ndiyo rais ungetoa majibu gani!?Majibu mepesi kujibu maswali mazito.
Tuko kutatua tatizo siyo kumzungumzia Magufuli!hili nalo ni swali nyeti sana. Watu wanalikwepa sana.
Katoka Misri juzi acha uchokozi.Mbona haongelei ziwa victoria lenye maji ya kutosha lkn Mwanza hakuna maji?
Huo mstari wa mwisho, huo.....Yaani yeye anajua Dar tu ndiyo kuna mgao wa maji?
Kama taifa tumepigwa.
Ufipa wanahusikaje tena hapo bwashee? Serikali si ya chama?Wakanywe Ufipa!
Hii ndio Tanzania bana,Wananchi wanalalamika,Mawaziri wanalalamika, Waziri Mkuu anadanganya,n.k, "Bado kuna wananchi wengi wameendelea kuvamia vyanzo vya maji kwa kuyachepusha kwa ajili ya matumizi mengine. Pia, kuna watu wanalima karibu na vyanzo vya maji. Haya yote yanapelekea Vyanzo vya Maji kupungua"
Kwa hiyo wazuiwe wasinywe au?Mwambie na tembo hunywa lita 200 kwa siku
Wapinzani wanalalamika na kulialia!Hii ndio Tanzania bana,Wananchi wanalalamika,Mawaziri wanalalamika, Waziri Mkuu anadanganya,n.k
Na sasa Raisi na Amirijeshi Mkuu nae ameanza kulalamika.
Mimi nimejaaliwa kuishi Vinchi vingivingi kidogo sijawahi kuona tabia hizi za kila mmoja akinung'unika.
Hili linaonyesha something is terribly wrong somewhere.
20 tena kwa mama.Hapana..
Haya maji na umeme huduma hamna ili kuwakomoa mataga na sukuma gang