tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,814
- 15,098
Mvua au manyunyu?Na hivyo leo Mwanza mvua imenyesha, namuona chief akijibebea point 3 za mezani
Mvua au manyunyu?Na hivyo leo Mwanza mvua imenyesha, namuona chief akijibebea point 3 za mezani
Pamoja na hizo ndege mbona hapakuwa na mgao wa maji kwa miaka yote sita?trln 1.5 za kununua ndege zingemaliza tatizo la maji nchi nzima
Hapo nakuelewa. Hoja yako ya mwanzo ilikuwa jumuishi (general).Soma tena ulichoandika na ulinganishe nilichokuuliza.....
Ngoja nibadilishe swali ili unielewe
Dar wanategemea mto ruvu, mto ruvu maji yamepungua.nakubaliana na mgao
Mikoa ya Kanda ya ziwa wanategemea maji ya mradi wa ziwa Victoria, mradi ulishaisha na maji yalishaanza kutoka. Ila Sasa hivi hayatoki. Ndio nikakuuliza huko napo sababu ni nini?
Dar es Salaam kuna mgao mkubwa wa maji kwa sababu mto Ruvu umevamiwa na binadamu na kuchepusha maji.
Pili maelfu ya mifugo yanayoingizwa kwenye mito kunywa maji yamepunguza kiasi cha maji kwani ng'ombe mmoja kwa mfano hunywa lita 40 za maji kwa siku.
Tatu ni ukataji miti hovyo hali inayoharibu ikolojia ya nchi.
Nne ni tatizo la tabia nchi.
Hivyo mgao wa maji hauepukiki
Na kwahiyo naagiza Wakuu wote wa mikoa kuweka ulinzi katika mito yote ili kulinda maji ya watu wetu.
========
Rais Samia Suluhu Hassan amesema anatambua Miji mingi mikubwa inakabiliwa na uhaba wa maji unaopelekea mgao wa maji na upungufu wa umeme
Amesema hiyo imetokana na mambo mawili makubwa ambayo ni Ubishi na ukaidi wa wanadamu na Kudra za Mungu
Amefafanua, "Bado kuna wananchi wengi wameendelea kuvamia vyanzo vya maji kwa kuyachepusha kwa ajili ya matumizi mengine. Pia, kuna watu wanalima karibu na vyanzo vya maji. Haya yote yanapelekea Vyanzo vya Maji kupungua"
#JamiiForums
"Nimefatana na viongozi wote hawa wa dini kwanza, kufuatana na viongozi wa dini wote hawa ni baraka kama kuna mapepo huko njiani yanapeperuka...pili nimeipa heshima Mwanza, tutaanza hapa dua za kuomba mvua zenye neema kwa Taifa letu"-Rais Samia.
Bora huyu, kulikuwa kuwa na kiongozi muuaji na mwenye chuki,Hii nchi tuna hali mbaya sana kama kiongozi tulie naye ndio huyu basi kama taifa tuna janga kubwa sana
Madege alinunua huyo mungu wenu wa Chatttle, na kwenda kujenga uwanja wa billion 40,pesa ambayo ilitosha kujenga mabwawa ya kuifadhi majiUnanunua madege huwekezi kwenye kuvuma maji. Una bambika kesi Mungu yupi akusikie wewe?
Akiwa makamu wa Rais alikuwaje?Samia Ni best president
Akiwa makamu wa Rais mahamuzi yote alikuwa anafanya Ngosha kwa ubabe wakeBora huyu, kulikuwa kuwa na kiongozi muuaji na mwenye chuki,
Akiwa makamu wa Rais alikuwaje?
Ni mipango mibovu pia ya watendaji, mvua huwa inanyesha ya kutosha tu, mbona sijawahi ona maeneo ya kutunza maji........nchi hii wanasiasa wanaongea rahisi sana mambo magumuDar es Salaam kuna mgao mkubwa wa maji kwa sababu mto Ruvu umevamiwa na binadamu na kuchepusha maji.
Pili maelfu ya mifugo yanayoingizwa kwenye mito kunywa maji yamepunguza kiasi cha maji kwani ng'ombe mmoja kwa mfano hunywa lita 40 za maji kwa siku.
Tatu ni ukataji miti hovyo hali inayoharibu ikolojia ya nchi.
Nne ni tatizo la tabia nchi.
Hivyo mgao wa maji hauepukiki
Na kwahiyo naagiza Wakuu wote wa mikoa kuweka ulinzi katika mito yote ili kulinda maji ya watu wetu.
========
Rais Samia Suluhu Hassan amesema anatambua Miji mingi mikubwa inakabiliwa na uhaba wa maji unaopelekea mgao wa maji na upungufu wa umeme
Amesema hiyo imetokana na mambo mawili makubwa ambayo ni Ubishi na ukaidi wa wanadamu na Kudra za Mungu
Amefafanua, "Bado kuna wananchi wengi wameendelea kuvamia vyanzo vya maji kwa kuyachepusha kwa ajili ya matumizi mengine. Pia, kuna watu wanalima karibu na vyanzo vya maji. Haya yote yanapelekea Vyanzo vya Maji kupungua"
#JamiiForums
"Nimefatana na viongozi wote hawa wa dini kwanza, kufuatana na viongozi wa dini wote hawa ni baraka kama kuna mapepo huko njiani yanapeperuka...pili nimeipa heshima Mwanza, tutaanza hapa dua za kuomba mvua zenye neema kwa Taifa letu"-Rais Samia.
Kwanini akubali maamuzi yote Afande ngosha kama Alicia anajiamini na analindwa na katiba?Akiwa makamu wa Rais mahamuzi yote alikuwa anafanya Ngosha kwa ubabe wake
Tunahitaji uchaguzi mkuu kabla ya 2025Tangia Magufuli afariki,watu wanajikatia miti hovyo tu kwenye mapori,pita lile pori la Biharamulo,pita pori la Geita kwenda Katoro,yaani utafikiri hakuna wasimamizi
Mwambie na tembo hunywa lita 200 kwa sikuWapo wanaokunywa hadi lita 60 kwa siku bwashee!
Madege alinunua huyo mungu wenu wa Chatttle, na kwenda kujenga uwanja wa billion 40,pesa ambayo ilitosha kujenga mabwawa ya kuifadhi maji
Bwashee unapingana na ukweli wa kuwa mvua imenyesha baada ya maombi huko Mwanza?!! 😳🤣🤣Huu ogoro watakula watu wa lumumba tu.
Hapana..Inasemekena nyie mataga pori mmpewa nafasi ya upendeleo kwenu maji yanatoka mengi kweri-kweri
Muuaji alikuwa anajua mbinu chafu za wahuni wote serikalini ndio mana hakuwahi kutulaza giza wala kutukosesha maji ya kunywa ata mara mojaBora huyu, kulikuwa kuwa na kiongozi muuaji na mwenye chuki,
Samia Ni best president
Mvua zinanyesha Mwanza muda huu😍