Tatizo hakuna mipango endelevu, hili jambo lifanyike kitaalamu.Ni mipango mibovu pia ya watendaji, mvua huwa inanyesha ya kutosha tu, mbona sijawahi ona maeneo ya kutunza maji........nchi hii wanasiasa wanaongea rahisi sana mambo magumu
Ng'ombe wa kisasa anaweza kupiga lita 40 bila shida kabisa. ila sio hawa wa kienyejiNg'ombe mmoja anakunywa lita 40 kwa siku 🤣🤣 ama kweli mama kafungua nchi wallah!!
Gesi asilia toka igunduliwe miaka ya sabini haijawahi kuwekwa kwenye mtungi,gesi inayotumika inatoka nje. Labda tuwaulize hao serikali kwanini imeshindikana au tuna ombwe la uongozi?Serikali hii naipa mbinu kila siku lkn haisikii.
Punguzeni Bei ya gesi matumizi ya kuni na mkaa yapungue Hadi vijijini...
Sana mkuuHii nchi tuna hali mbaya sana kama kiongozi tulie naye ndio huyu basi kama taifa tuna janga kubwa sana
Kukosekana kwa umeme na maji wapinzani wanalia?Wapinzani wanalalamika na kulialia!
Yaani yeye anajua Dar tu ndiyo kuna mgao wa maji?
Kama taifa tumepigwa.
Tulia wewe!
Mataga wanakomolewa
Moja ya njia ya ku solve tatizo n kukubali tatizo lipoHii nchi tuna hali mbaya sana kama kiongozi tulie naye ndio huyu basi kama taifa tuna janga kubwa sana
Ndio.. Si ndio kama hivyo unaona wanakomolewa kwa kukatiwa umeme na maji!Mataga muda wenu umekwisha, acha gubu.Wenzako wote wameshakubali.
Tunaweza kutumia mafuta kuzalisha umeme je tutaweza ku afford bri ya unit moja ikipandaHapana mbona kasema miji mikubwa yote kuna ukame.
By the way tujiulize mbona Jiwe alivyokuwepo, mgao haukuwepo?
Ndo maanake si unajua magu alikuwa anaua sana watu so walikuwa wanamuogopa sasa baada yakuja mama na yeye mama ni mpole hanaga nomaKwahiyo hao watu wamevamia Magu alipofariki au?
KumbeUngemsikiliza alichosema wala usingevurumisha lawama 🤣
Amesema Dar ni mfano wa sehemu nyinginezo.
Kwa mawazo ya bwashee, jua kali na kukatika kwa umeme kunawahusu wapinzani, kwahiyo watulie wafurahie hiyo haliKukosekana kwa umeme na maji wapinzani wanalia?
Kwahiyo hao watu wamevamia Magu alipofariki au?
Unakunywaga kinywaji gani mkuu nikutumieMimi ni ccm ila kwa huyu mama nitakuwa mstari wa mbele kuhakikisha 2025 hatoboi.
Waziri Mkuu jana amewatangazia wawekezaji waje, umeme upo hadi unamwagika, wasiwe na wasiwasi kabisa na hiyo nishatiMoja ya njia ya ku solve tatizo n kukubali tatizo lipo