Ukweli ni upi?Uongo mtupu.
Ukweli ni upi?Uongo mtupu.
Katiba inamruhusu kugombea na alishasema atagombea.Mama mwenyewe hatogombea
Chadema ipo kwa ajili ya watanzania, nao wanalijua hilo, ndio maana CCM hutumia polisi kuwazuia kukamata dola.Ukweli ni upi?
Hapana hao sio CCM B. Hao ni CCM C kwasababu ACT alishawahi nafasi hapo kwenye BBado mtatunga sana ila mmeshapoteza nyie ni CCM B
Haya ni mambo ya Mourinho kudanganya kuwa lineup yake wachezsji kadhaa ni majeruhi halafu siku ya mechi unakuta wote wapo kwenye kikosi.Mama mwenyewe hatogombea
Makamanda tepetepe, rojorojo. Njaa haina baunsaRais na mwenyekiti wa CCM yupo sahihi kwa kauli hii! Maana ni mwanasiasa na ni mgombea mtarajiwa wa urais so ni lazima ujipe umuhim wa kushinda urais!! But wenye akili kisoda humu sasa
Mbele ya Katiba mpya hakuna shakaSasa simamisheni mgombea muone kama hamjalia kuchezewa faulo
Umeanza kupinga maridhiano? Hiyo ni moja ya ajendaUongo mtupu.
Labda anamaanisha haoni sura ya kushika dola Chadema kwasababu hawana polisi na tume feki ya uchaguzi.
Kinyoonge sanaMbele ya Katiba mpya hakuna shaka
Ulitaka aseme CDM mna nafas ya kushika dola 2025? While nayeye anahitaji kushika dola? Kwann mnakosa hoja zenye akili?Makamanda tepetepe, rojorojo. Njaa haina baunsa
Mama alikuwa anajipakulia minyama bana Ulitaka aseme kuna mpinzani anamuhofia?
Rais Samia akiwa katika Maadhimisho amezungumza mambo mbalimbali. Akiwa anajibu hoja ya Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa BAWACHA kuhusu nia yao ya kushika dola 2025 Rais Samia amesema:
"Ndugu zangu siasa ni mchezo wa kulumbana kwa hoja Wote tukiwa na lengo la kushika dola kama alivyosema Mwenyekiti wa BAWACHA na Freeman Mbowe. Kwa sura nazoziona hapo hamna nia ya kushika dola 2025 mnajua Mama yupo dhamira hiyo haipo."
"Lakini niseme yes wote tuna lengo hilo lakini tukafanye kistaarabu kama Wanaadamu kama watu. Tuheshimiane, tuheshimike duniani."
Aidha Rais Samia ameongeza;
"Nataka niwaambie kitu kwa kipindi hiki kifupi nchi yetu inaheshimika sana duniani. Kwahiyo tusiirudishe chini, tusiirudishe nyuma. Twendeni na mwendo huu tuweke heshima ya nchi yetu pale inapostahiki.
Tanzania ni taifa kubwa tusilitolee sifa yake."
Wala hata haujamuelewa, ndiyo tatizo la kutumia boga badala ya kichwaLeo Mama ameongea ukweli unaouma kwa ndugu zetu CHADEMA, Mama ni mwanasiasa hasa na ameiva, yupo vizuri haswaa BAWACHA/CHADEMA ujumbe umefika kama kisu kimepiga kwenye mfupa.
Mitano tena kwa Mama.
Lini Tanzania ilikosa amani? Tanzania miaka yote huwa inajivunia amani tu sio maendeleo utafikiri nchi zote zipo vitani kasoro yeye.Mimi ni mwananchi mmoja wapo ninayetaka Dr. SSH 🇹🇿 2025 awe Rais mgombea pekee nchini, Hii Amani tuliyonayo tuendelee kuifurahia na miaka mingne mitano maana hatujui atakayekuja badae atakuwaje.
Mbona hasira? Kwani mna mpango wa kushika dola?Ulitaka aseme CDM mna nafas ya kushika dola 2025? While nayeye anahitaji kushika dola? Kwann mnakosa hoja zenye akili?
😂😂😂Mbele ya Katiba mpya hakuna shaka
Dah! Unapata tabu sana mkuu kujaribu kuweka mambo sawa, pole sana mkuu.Uongo mtupu.
Labda anamaanisha haoni sura ya kushika dola Chadema kwasababu hawana polisi na tume feki ya uchaguzi.
Idiotic comment. Watu kama wewe ndio hamtakiwi na mama kabisa kwani mwaeneza migawanyiko katika jamii.Mama ajiangalie tu,awajue kuwa hicho chama ni cha wachagga ukitoa pesa watakupenda na usipowapa wanakutenda.
HakikaMama kaongea uhalisia.Sasa tupo Pamoja,Nchi yote wanamuelewa Mhe.Rais Samia.