Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,229
- 4,715
mamayenu amewagonga kwelikwel wajinga wa uvccm na sukuma gang.CHADEMA hawana habar na masuala ya kushika dola WAO NA BUYU LA ASALI YA MAMA
mamayenu amewagonga kwelikwel wajinga wa uvccm na sukuma gang.CHADEMA hawana habar na masuala ya kushika dola WAO NA BUYU LA ASALI YA MAMA
Lumumba leo wanatafutana.Kinyooonge sana
Bado mtatunga sana ila mmeshapoteza nyie ni CCM BKama
Tunapepewa deal ya 2025 tusisimamishe mgombea uraisi halaf mama atupe katiba mpya na tume huru why not? Tunaangalia faida
Kama BUYU LA ASALI linatembea kwa viongozi wote wa juu chadema shida inakuwa ni nini? 😀 😀 😀 Watu wanalamba asali tu. Hawana habari
Rais Samia akiwa katika Maadhimisho amezungumza mambo mbalimbali. Akiwa anajibu hoja ya Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa BAWACHA kuhusu nia yao ya kushika dola 2025 Rais Samia amesema:
"Ndugu zangu siasa ni mchezo wa kulumbana kwa hoja Wote tukiwa na lengo la kushika dola kama alivyosema Mwenyekiti wa BAWACHA na Freeman Mbowe. Kwa sura nazoziona hapo hamna nia ya kushika dola 2025 mnajua Mama yupo dhamira hiyo haipo."
"Lakini niseme yes wote tuna lengo hilo lakini tukafanye kistaarabu kama Wanaadamu kama watu. Tuheshimiane, tuheshimike duniani."
Aidha Rais Samia ameoneza
"Nataka niwaambie kitu kwa kipindi hiki kifupi nchi yetu inaheshimika sana duniani. Kwahiyo tusiirudishe chini, tusiirudishe nyuma. Twendeni na mwendo huu tuweke heshima ya nchi yetu pale inapostahiki.
Tanzania ni taifa kubwa tusilitolee sifa yake."
Imeisha hio 😀😀😀 na kuhakikisha hilo anatembeza asali sio mchezoHii ni kauli ya kikubwa, Kwa watu wakubwa
Rais kamaanisha watamuunga mkono yy na sio wao kugombea Kuchukua madaraka
Sema hii asali, maana amani haijawahi kuwa tatizo katika hii nchi!Mimi ni mwananchi mmoja wapo ninayetaka Dr. SSH 🇹🇿 2025 awe Rais mgombea pekee nchini, Hii Amani tuliyonayo tuendelee kuifurahia na miaka mingne mitano maana hatujui atakayekuja badae atakuwaje.
Ndio maana kaamua kuwapa pesa.Mama ajiangalie tu,awajue kuwa hicho chama ni cha wachagga ukitoa pesa watakupenda na usipowapa wanakutenda.
Wa Msoga alishampa tips kuwa ili kwenda nao mstari ni kuwalambisha asali tu. Kwisha kazi hutaskia Nyoko Nyoko yoyote toka kwa hao umbwa.Mama ajiangalie tu,awajue kuwa hicho chama ni cha wachagga ukitoa pesa watakupenda na usipowapa wanakutenda.
Wanawajua tena unawalambisha wachache tu. Wa huko chini hawanaga akili wao huburuzwaWa Msoga alishampa tips kuwa ili kwenda nao mstari ni kuwalambisha asali tu. Kwisha kazi hutaskia Nyoko Nyoko yoyote toka kwa hao umbwa.
Maana kinachowasumbuaga ni njaa tu.
Hata yule anayejiita nabii nahisi nae atakuwa kachapwa B kadhaa kachanganyikiwa ndio maana anatukana kila mtu.
Hebu tuambie, asali ipi Chadema waliyolambishwa tuijue na wengine?Wa Msoga alishampa tips kuwa ili kwenda nao mstari ni kuwalambisha asali tu. Kwisha kazi hutaskia Nyoko Nyoko yoyote toka kwa hao umbwa.
Maana kinachowasumbuaga ni njaa tu.
Hata yule anayejiita nabii nahisi nae atakuwa kachapwa B kadhaa kachanganyikiwa ndio maana anatukana kila mtu kuanzia boda boda, mama ntilie nakadhalika.
Rais na mwenyekiti wa CCM yupo sahihi kwa kauli hii! Maana ni mwanasiasa na ni mgombea mtarajiwa wa urais so ni lazima ujipe umuhim wa kushinda urais!! But wenye akili kisoda humu sasa 🤣🤣🤣🤣🤣
Rais Samia akiwa katika Maadhimisho amezungumza mambo mbalimbali. Akiwa anajibu hoja ya Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa BAWACHA kuhusu nia yao ya kushika dola 2025 Rais Samia amesema:
"Ndugu zangu siasa ni mchezo wa kulumbana kwa hoja Wote tukiwa na lengo la kushika dola kama alivyosema Mwenyekiti wa BAWACHA na Freeman Mbowe. Kwa sura nazoziona hapo hamna nia ya kushika dola 2025 mnajua Mama yupo dhamira hiyo haipo."
"Lakini niseme yes wote tuna lengo hilo lakini tukafanye kistaarabu kama Wanaadamu kama watu. Tuheshimiane, tuheshimike duniani."
Aidha Rais Samia ameoneza
"Nataka niwaambie kitu kwa kipindi hiki kifupi nchi yetu inaheshimika sana duniani. Kwahiyo tusiirudishe chini, tusiirudishe nyuma. Twendeni na mwendo huu tuweke heshima ya nchi yetu pale inapostahiki.
Tanzania ni taifa kubwa tusilitolee sifa yake."
Mama ajiangalie tu,awajue kuwa hicho chama ni cha wachagga ukitoa pesa watakupenda na usipowapa wanakutenda.
Mtaijuaje nyie walamba vumbiHebu tuambie, asali ipi Chadema waliyolambishwa tuijue na wengine?
Eeh ni wale toplayer tu, mwenyekiti na machawa wake kadhaa ambao ni watu wa mdomo mdomo😀!Wanawajua tena unawalambisha wachache tu. Wa huko chini hawanaga akili wao huburuzwa