Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 47,174
- 122,732
Kila kitu kwake ni bure, mshahara wake haugusi kabisa, hata yale magoli anayonunua hagusi mshahara wakeHuyu mheshimiwa naona kila akiingia ndani anatoka kavaa nguo nyingine.
Hivi hizo nguo anazobadili kila sekunde ni sisi walipa kodi tunagharamia?