Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 1,677
- 3,496
Wanaweza kuanza. Ila TRC hawana uwezo wa kuendesha huo mradi katika ubora wake.
Masanja Kadogosa msaidizi wake Machibya Masanja, unategemea ufanisi utatoka wapi ktk undugunization km huo. Weka pembeni Kadogosa mswahili tu yule.Naungana na Mh.Rais endapo kina kadogosa na Mbarawa wakishindwa ku meet deadline hii Fukuza.
Na kama hawako sure Kwa axact date wakome kutangazia Umma tarehe harafu mda ukifika hakuna kinachoendelea wanakuja na visingizio vingine vya kijinga.
Nyie TRC/Wizara ya Uchukuzi mumevumiliwa sana kama TANESCO.
Heri ya Mwaka Mpya na kazi inaendelee.
---
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa wanaohusika na mradi wa reli ya kisasa (SGR) kuhakikisha inapofika Julai 2024 safari za kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma zinaanza.
Rais Samia ameyasema hayo leo Desemba 31, 2023 akihutubia nchi katika salamu zake za mwaka mpya 2024.
“Nimekuwa nikisikia mabadiliko ya tarehe za kuanza kwa safari za treni, na kwa kweli, wananchi wamechoshwa na vijisababu, wanataka kuona reli ikifanya kazi. Sasa, naelekeza, ifikapo mwisho wa Julai 2024, safari kati ya Dar es Salaam hadi Dodoma zianze,”amesema Rais Samia.
Anao mamako? Libwege kweli.Hana huo ubavu
We huna tofauti na ushuzi wa shoga....bi shungi nae ana lorries kibao 300 mkuranga 300 zaenda dRC ......kuna nini hapo ? Waliomzunguka wote wana lorries kufa mtuuuu
hapo sasa asilazimishe walipue, awaache wafanye kitu cha kueleweka, sio walianzishe kwa pupa na lilete matatizo itakuwa haina faida.Naungana na Mh.Rais endapo kina kadogosa na Mbarawa wakishindwa ku meet deadline hii Fukuza.
Na kama hawako sure Kwa axact date wakome kutangazia Umma tarehe harafu mda ukifika hakuna kinachoendelea wanakuja na visingizio vingine vya kijinga.
Nyie TRC/Wizara ya Uchukuzi mumevumiliwa sana kama TANESCO.
Heri ya Mwaka Mpya na kazi inaendelee.
---
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa wanaohusika na mradi wa reli ya kisasa (SGR) kuhakikisha inapofika Julai 2024 safari za kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma zinaanza.
Rais Samia ameyasema hayo leo Desemba 31, 2023 akihutubia nchi katika salamu zake za mwaka mpya 2024.
“Nimekuwa nikisikia mabadiliko ya tarehe za kuanza kwa safari za treni, na kwa kweli, wananchi wamechoshwa na vijisababu, wanataka kuona reli ikifanya kazi. Sasa, naelekeza, ifikapo mwisho wa Julai 2024, safari kati ya Dar es Salaam hadi Dodoma zianze,”amesema Rais Samia.
hapo sasa asilazimishe walipue, awaache wafanye kitu cha kueleweka, sio walianzishe kwa pupa na lilete matatizo itakuwa haina faida.Naungana na Mh.Rais endapo kina kadogosa na Mbarawa wakishindwa ku meet deadline hii Fukuza.
Na kama hawako sure Kwa axact date wakome kutangazia Umma tarehe harafu mda ukifika hakuna kinachoendelea wanakuja na visingizio vingine vya kijinga.
Nyie TRC/Wizara ya Uchukuzi mumevumiliwa sana kama TANESCO.
Heri ya Mwaka Mpya na kazi inaendelee.
---
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa wanaohusika na mradi wa reli ya kisasa (SGR) kuhakikisha inapofika Julai 2024 safari za kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma zinaanza.
Rais Samia ameyasema hayo leo Desemba 31, 2023 akihutubia nchi katika salamu zake za mwaka mpya 2024.
“Nimekuwa nikisikia mabadiliko ya tarehe za kuanza kwa safari za treni, na kwa kweli, wananchi wamechoshwa na vijisababu, wanataka kuona reli ikifanya kazi. Sasa, naelekeza, ifikapo mwisho wa Julai 2024, safari kati ya Dar es Salaam hadi Dodoma zianze,”amesema Rais Samia.
Wewe akili unazo? Stay tuneduna mwamini, bi mkubwa amna akili mule
Chawa wa matapeli kazi mnayo.Naungana na Mh.Rais endapo kina kadogosa na Mbarawa wakishindwa ku meet deadline hii Fukuza.
Na kama hawako sure Kwa axact date wakome kutangazia Umma tarehe harafu mda ukifika hakuna kinachoendelea wanakuja na visingizio vingine vya kijinga.
Nyie TRC/Wizara ya Uchukuzi mumevumiliwa sana kama TANESCO.
Heri ya Mwaka Mpya na kazi inaendelee.
---
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa wanaohusika na mradi wa reli ya kisasa (SGR) kuhakikisha inapofika Julai 2024 safari za kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma zinaanza.
Rais Samia ameyasema hayo leo Desemba 31, 2023 akihutubia nchi katika salamu zake za mwaka mpya 2024.
“Nimekuwa nikisikia mabadiliko ya tarehe za kuanza kwa safari za treni, na kwa kweli, wananchi wamechoshwa na vijisababu, wanataka kuona reli ikifanya kazi. Sasa, naelekeza, ifikapo mwisho wa Julai 2024, safari kati ya Dar es Salaam hadi Dodoma zianze,”amesema Rais Samia.
Naunga mkono hojaMama ajikite kwenye uchezaji filamu tu urais umeshamshinda
Filamu ijayo, achague ya Kituruki au KikoreaMama ajikite kwenye uchezaji filamu tu urais umeshamshinda
Na kama hawako sure Kwa axact date wakome kutangazia Umma tarehe harafu mda ukifika hakuna kinachoendelea wanakuja na visingizio vingine vya kijinga
Ukiwa na akili timamu huwezi kuliamini wala kulipigia debe hili li kiongozi zaidi ni kuliombea liondoke kwa aibu tuNaungana na Mh.Rais endapo kina kadogosa na Mbarawa wakishindwa ku meet deadline hii Fukuza.
Na kama hawako sure Kwa axact date wakome kutangazia Umma tarehe harafu mda ukifika hakuna kinachoendelea wanakuja na visingizio vingine vya kijinga.
Nyie TRC/Wizara ya Uchukuzi mumevumiliwa sana kama TANESCO.
Heri ya Mwaka Mpya na kazi inaendelee.
---
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa wanaohusika na mradi wa reli ya kisasa (SGR) kuhakikisha inapofika Julai 2024 safari za kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma zinaanza.
Rais Samia ameyasema hayo leo Desemba 31, 2023 akihutubia nchi katika salamu zake za mwaka mpya 2024.
“Nimekuwa nikisikia mabadiliko ya tarehe za kuanza kwa safari za treni, na kwa kweli, wananchi wamechoshwa na vijisababu, wanataka kuona reli ikifanya kazi. Sasa, naelekeza, ifikapo mwisho wa Julai 2024, safari kati ya Dar es Salaam hadi Dodoma zianze,”amesema Rais Samia.