LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 13,425
- 18,250
ulitaka wawe kobazi?Huu udini kabisa haiwezekani wote dini moja
ulitaka wawe kobazi?Huu udini kabisa haiwezekani wote dini moja
Mt 5:44Wewe umesomea umbea?
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Kitila Mkumbo kuwa Waziri. Aidha amefanya mabadiliko madogo ya miundo katika baadhi ya Wizara.
---
UTEUZI: DKT. MWIGULU NCHEMBA AWA WAZIRI WA FEDHA
Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Wizara ya Fedha na kumteua Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri wa Fedha
Hapo awali alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango
UTEUZI: ASHATU KIJAJI AWA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA
Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Wizara ya Viwanda na kumteua Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji kuwa Waziri wa Wizara hiyo
Hapo awali alikuwa Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara
View attachment 2679459
Chadomo wanaumia sana ila ndio hawana Cha kufanya zaidi ya kujifariji Kwa matusi 😂😂😂😂Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Kitila Mkumbo kuwa Waziri. Aidha amefanya mabadiliko madogo ya miundo katika baadhi ya Wizara.
---
UTEUZI: DKT. MWIGULU NCHEMBA AWA WAZIRI WA FEDHA
Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Wizara ya Fedha na kumteua Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri wa Fedha
Hapo awali alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango
UTEUZI: ASHATU KIJAJI AWA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA
Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Wizara ya Viwanda na kumteua Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji kuwa Waziri wa Wizara hiyo
Hapo awali alikuwa Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara
View attachment 2679459
Mapambio atapiga nani??UVCCM mbona hawateuliwi!
Ni wale wale wazee!!!
Na alipambana kweli kweliHiyo ni zawadi baada ya Mkumbo kupambania sana lile jambo letu
naibu atakuwa askofu josephat gwajimaBado Wizara OR masuala mtambuka ya Dini-Waziri atakuwa Sheikh Said Mwaipopo!
Na kamwe usifuatilie kama ulivyojidhihirisha leo.M hata sifatilii hz mambo tena. Ntakasirika halaf hamna cha kufanya
Hapa huwaoni wagalatia kupiga kelele .Huu udini kabisa haiwezekani wote dini moja
Na aliongea kwerikweriAzimio la bandari Kitila Mkumbo ndio alikuwa wa Kwanza kuongea bungeni na aliitumia vizuri hiyo nafasi
Ndio mpige kura 2025 sio mnaacha afu mnalaumu baadaeUseless leader
Za ndani sana
Who caresDoing what she does best, kuongeza gharama za serikali kwa kuweka uoza ule ule.
Anyways wakati wake huu.