Rais Samia aunda Wizara Mpya na kufanya Mabadiliko ya kimuundo baadhi ya Wizara. Amteua Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri

Jembe linaupiga mwingi

mwigulu-pic.jpg
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Kitila Mkumbo kuwa Waziri. Aidha amefanya mabadiliko madogo ya miundo katika baadhi ya Wizara.

---
UTEUZI: DKT. MWIGULU NCHEMBA AWA WAZIRI WA FEDHA

Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Wizara ya Fedha na kumteua Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri wa Fedha

Hapo awali alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango


UTEUZI: ASHATU KIJAJI AWA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA

Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Wizara ya Viwanda na kumteua Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji kuwa Waziri wa Wizara hiyo

Hapo awali alikuwa Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara


View attachment 2679459

Wizara ya uwekezaji inaunda au imepelekwa wapi? Maana ilikuwa ndani ya Wizara ya Uwekezaji, viwanda na biashara

mit.go.tz
https://www.mit.go.tz
Wizara ya Viwanda na Biashara

Wizara ya Uwekezaji, viwanda na biashara
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Kitila Mkumbo kuwa Waziri. Aidha amefanya mabadiliko madogo ya miundo katika baadhi ya Wizara.

---
UTEUZI: DKT. MWIGULU NCHEMBA AWA WAZIRI WA FEDHA

Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Wizara ya Fedha na kumteua Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri wa Fedha

Hapo awali alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango


UTEUZI: ASHATU KIJAJI AWA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA

Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Wizara ya Viwanda na kumteua Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji kuwa Waziri wa Wizara hiyo

Hapo awali alikuwa Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara


View attachment 2679459
Chadomo wanaumia sana ila ndio hawana Cha kufanya zaidi ya kujifariji Kwa matusi 😂😂😂😂
 
Tanzania rais akiamka tu ameshiba ugali utumbo anaanzisha wizara, kwsho anaifuta, keshokutwa anaanzisha nyingine.

Nchi masikini lakini wizara za kutosha.
 
Back
Top Bottom