tangu akiwa CDM Kitila ni mtu wa mipango mipango sana, hadi wamemuundia Wizara yake 😂Prof. Mkumbo alisomea mambo ya uchumi au ndiyo Mafuru atamsaidia?
Ni siasa tupu, Shida anawatafutia ulaji.unazani kuna cha wizara hapo? Subili ataunda tena wizara zingine ili awatafutie watu ulajiProf. Mkumbo alisomea mambo ya uchumi au ndiyo Mafuru atamsaidia?
Huu udini kabisa haiwezekani wote dini mojaRais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Kitila Mkumbo kuwa Waziri. Aidha amefanya mabadiliko madogo ya miundo katika baadhi ya Wizara.
View attachment 2679459
Huyu alisha feli sasa anacho fanya ni kuchange atentionsEhee wanabasilishana tuu lkn mbona hatuoni mabadiliko?
Hii ni hatari sana mkuu, bora angepelekwa elimu maana nadhani ndiyo eneo lake la ubobevu mipango ilitakiwa walau waziri awe na abc kuhusu uchumi labda Prof alisomea nisimkoseeHiyo ni zawadi baada ya Mkumbo kupambania sana lile jambo letu
Hatimaye karudi 'high table '.... hongera kwakeNilijua tu. Kwa kelele zile za Mkumbo kwenye azimio la Bandari, anatafuta ulaji.
Upumbavu mtupuRais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Kitila Mkumbo kuwa Waziri. Aidha amefanya mabadiliko madogo ya miundo katika baadhi ya Wizara.
View attachment 2679459
Huyu ni failure haijasaji tokea, yaani na.haitakaa itokee tenaUjinga at its best. Eeh Mungu, mpatie majukumu mengine huyu punguwani
Shekhe mpya kanzu ya zamani auProf. Mkumbo alisomea mambo ya uchumi au ndiyo Mafuru atamsaidia?
Ni.mwendo.wa kutafutiana ugariKatiba haisemi serikali itakuwa na wizara ngapi, mawaziri wangapi, manaibu mawaziri na makatibu wakuu ?
Negativitu gani? Huyo ndio kazi anawezaUsiwe negativity sana