Rais Samia aunda Wizara Mpya na kufanya Mabadiliko ya kimuundo baadhi ya Wizara. Amteua Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri

20230614_110147.jpg
 

Attachments

  • 20230614_110147.jpg
    20230614_110147.jpg
    94.7 KB · Views: 3
aliyetudanganya kuwa serikali ikiwa kubwa ndio ufanisi utaongezeka alituweza. tuna wabunge 200 na chenji, mawizara ya kutosha, utitiri wa bodi hadi za nyama, bado mashirika ya umma, lakini wapi... matokeo yake tunatumia zaidi ya nusu ya mapato kuhudumia serikali, tutafika kweli?
 
Back
Top Bottom