Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Watawala wa Afrika wana hulka ya kutunga Sheria ambazo zinakuja kuwaumiza wenyewe.
Wewe unakumbuka Bwana January Makamba alivyokuwa wa kwanza kushededea CYBER CRIMES ACT ???
Leo hii ile sheria ndiyo inamkanyaga kama mavumbi na kumuua kisiasa.
Africa iko maneno. Watu wanapokuwa katikati ya nguvu za kiutawala wanasahau yote. Sababu kubwa ni kuwa wako pale sio kuongoza ila kula na kushiba halafu kusaza
Sent using Jamii Forums mobile app