Rais Magufuli na Waziri Mkuu Majaliwa kufanya vikao kwa Skype?

Dom karibu sana na wanajua ukaribu wao hivyo watakuwa wamejiandaa kwa mawasiliano ya karibu ni vema
 
Utawala wa awamu hii hawahitaji kushauriana wala kufanya vikao...
Kila mtu kwa nafasi yake anajua kila kitu...!!
 
Lakini tutakuwa tumeshaingia gharama kiasi gani?
hizo gharama za serikali sio zakuzuia jambo lamuhimu kama hili kufanyika,isitoshe ni sisi wananchi tutafaidi izopesa za serikali na tutawapa tena kwanjia ya kodi! Nimzunguko tuu wa pesa...
 
hizo gharama za serikali sio zakuzuia jambo lamuhimu kama hili kufanyika,isitoshe ni sisi wananchi tutafaidi izopesa za serikali na tutawapa tena kwanjia ya kodi! Nimzunguko tuu wa pesa...
Unadhani zile serikali ambazo zinasemwa kuwa zimefilisika unadhani huwa hazina fedha za kuwafaidisha wananchi wake. Tatizo fedha ni dhana tu wala si kitu halisi, na ili hiyo dhana (Fedha)iwe na thamani ni lazima serikali iwe na mipango yenye tija kiuchumi. Kuhamia Dodoma si mradi wenye tija kiuchumi!!
 
Najaribu kufikiria, Waziri mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kuhamia Dodoma mwanzoni mwa mwezi septemba mwaka huu.

Wakati huo Rais atakuwa bado yuko Dar es salaam, mimi nadhani Rais na waziri mkuu ukutana mara kwa mara ili kujadili mambo mbalimbali, ikiwemo mikutano na baraza la mawaziri.

Swali langu, je watakuwa wanafanya vikao kwa Skype?, Au kuna nchi yoyote duniani ambapo waziri mkuu na Rais wanakuwa miji tofauti ama Tanzania itakuwa ya kwanza?
Kwani mawasiliano na Rais wa Zanzibar wanafanyaje? Umeshajiuliza hilo?
 
Najaribu kufikiria, Waziri mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kuhamia Dodoma mwanzoni mwa mwezi septemba mwaka huu.

Wakati huo Rais atakuwa bado yuko Dar es salaam, mimi nadhani Rais na waziri mkuu ukutana mara kwa mara ili kujadili mambo mbalimbali, ikiwemo mikutano na baraza la mawaziri.

Swali langu, je watakuwa wanafanya vikao kwa Skype?, Au kuna nchi yoyote duniani ambapo waziri mkuu na Rais wanakuwa miji tofauti ama Tanzania itakuwa ya kwanza?
Nadhani lingeanza bunge kuonyeshwa LIVE kwa Skype
 
kwa pesa za mtanzania wakati wanachuo hawana pesa za kujikimu.

wewe huna Elimu ya juu.


swissme

hili swala nadhani litakuwa limesha jadiliwa kwa undani zaidi, lakini sitategemea swala la kuhamia dodoma lianze kuleta matokea haya kwa serikari yangu.

1) safari za ndege kuwa nyingi na kuathiri budget ama uchumi kwa namna moja ama nyingine.
2) kama watatumia swala la software communications je uwezo wa tekinolojia ya kuzuia udukuzi ipo makini??
3) je elimu ya wafanyakazi wa tanzania katika matumizi ya mitandao haswa katika mawasiliano ya mitandao ipoje???
 
Back
Top Bottom