Rais Magufuli na Waziri Mkuu Majaliwa kufanya vikao kwa Skype?

Nkobe

JF-Expert Member
Feb 17, 2013
2,162
3,162
Najaribu kufikiria, Waziri mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kuhamia Dodoma mwanzoni mwa mwezi septemba mwaka huu.

Wakati huo Rais atakuwa bado yuko Dar es salaam, mimi nadhani Rais na waziri mkuu ukutana mara kwa mara ili kujadili mambo mbalimbali, ikiwemo mikutano na baraza la mawaziri.

Swali langu, je watakuwa wanafanya vikao kwa Skype?, Au kuna nchi yoyote duniani ambapo waziri mkuu na Rais wanakuwa miji tofauti ama Tanzania itakuwa ya kwanza?
 
Anahamisha ofsi na baadhi ya watendaji tu. Yeye atabaki Dar. Kawaida raid na waziri mkuu huukaa karibu ili kujadili masuala nyeti ya nchi. Labda aangalia kama hakuna gharama kuendesha ofsi mbili Dar na Dom.
 
Anahamisha ofsi na baadhi ya watendaji tu. Yeye atabaki Dar. Kawaida raid na waziri mkuu huukaa karibu ili kujadili masuala nyeti ya nnchi. Labda aangalia kama hakuna gharama kuendesha ofsi mbili Dar na Dom.

Kumbuka waziri mkuu atakuwa Dodoma
 
Changamoto hazikimbiwi...kwa muda tuu badae watakuwa karibu nadhani Hilo nijambo dogo tuu.
 
Najaribu kufikiria, Waziri mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kuhamia Dodoma mwanzoni mwa mwezi septemba mwaka huu. Wakati huo Rais atakuwa bado yuko Dar es salaam, mimi nadhani Rais na waziri mkuu ukutana mara kwa mara ili kujadili mambo mbalimbali, ikiwemo mikutano na baraza la mawaziri. Swali langu, je watakuwa wanafanya vikao kwa Skype?, Au kuna nchi yoyote duniani ambapo waziri mkuu na Rais wanakuwa miji tofauti ama Tanzania itakuwa ya kwanza?
Kwahiyo kwakufikiri kwako ni kuwa wao hawajajua watawasiliana vipi iwapo PM atahamia Dodoma?Hacha cheap thinking.
 
Waziri mkuu ana uwezo wa kupanda ndege mara kwa mara kuja dar kwenye vikao na kurudi dom.
 
Najaribu kufikiria, Waziri mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kuhamia Dodoma mwanzoni mwa mwezi septemba mwaka huu.

Wakati huo Rais atakuwa bado yuko Dar es salaam, mimi nadhani Rais na waziri mkuu ukutana mara kwa mara ili kujadili mambo mbalimbali, ikiwemo mikutano na baraza la mawaziri.

Swali langu, je watakuwa wanafanya vikao kwa Skype?, Au kuna nchi yoyote duniani ambapo waziri mkuu na Rais wanakuwa miji tofauti ama Tanzania itakuwa ya kwanza?
Ivi kulikua na ulazima wa kuamia dodoma kipindi kama hiki??
 
Kwahiyo kwakufikiri kwako ni kuwa wao hawajajua watawasiliana vipi iwapo PM atahamia Dodoma?Hacha cheap thinking.

Kama kuna mambo mengi waliyojaribu yakakwama, kwanini nisiwe na wasiwasi na jambo hili?
 
Najaribu kufikiria, Waziri mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kuhamia Dodoma mwanzoni mwa mwezi septemba mwaka huu.

Wakati huo Rais atakuwa bado yuko Dar es salaam, mimi nadhani Rais na waziri mkuu ukutana mara kwa mara ili kujadili mambo mbalimbali, ikiwemo mikutano na baraza la mawaziri.

Swali langu, je watakuwa wanafanya vikao kwa Skype?, Au kuna nchi yoyote duniani ambapo waziri mkuu na Rais wanakuwa miji tofauti ama Tanzania itakuwa ya kwanza?
Dunia sasa ni kama kijiji
Dodoma ni karibu mno
 
Back
Top Bottom