mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Kwa wasiojua uwezo wa Rais wetu shauri yao
Mh JPM katika teuzi ametumia ajili zaidi ya tunavyodhani
Wengi wanaangalia UKada ila mkuu kaenda mbali zaidi,baada ya mashinikizo ya CCM kuwapa vijana ajira Rais ameamua kuwapa kazi makada wasio na uwezo nazo ili washindwe mapema Sana na ajivue kwenye lawama.
Wateule wengi watashindwa kazi mapema na watatumbuliwa hapo Rais hata kuwa kabisa na lawama kutoka CCM maana watakuwa wameshindwa wenyewe,kwa mfano
Ma DED watakapoenda kupeleka vyeti kuna watakaokimbia mchezo au kughushi vyeti(huu ni mtego mzuri)hapo watabainishwa kadhaa .jambo jingine ni katika kusimamia majukumu kuna watakao on a kazi ni ngumu na watajiengua na hii sasa itampa Rais kufanya teuzi ambazo Hana shinikizo nazo tena za ki siasa wala lawama
Wale ambao walikuwa hawajaelewa kinachoenda kutokea basi ni swala la muda tu wengi wataondoka bila Malipo na wengine watajiondoa kwa kushindwa na hawatakuwa na pa kudai wala kulaumu
Kama hukuuelewa mpango huu wa kisayansi basi tukutane baada ya mwaka mmoja kuanzia leo
Mh JPM katika teuzi ametumia ajili zaidi ya tunavyodhani
Wengi wanaangalia UKada ila mkuu kaenda mbali zaidi,baada ya mashinikizo ya CCM kuwapa vijana ajira Rais ameamua kuwapa kazi makada wasio na uwezo nazo ili washindwe mapema Sana na ajivue kwenye lawama.
Wateule wengi watashindwa kazi mapema na watatumbuliwa hapo Rais hata kuwa kabisa na lawama kutoka CCM maana watakuwa wameshindwa wenyewe,kwa mfano
Ma DED watakapoenda kupeleka vyeti kuna watakaokimbia mchezo au kughushi vyeti(huu ni mtego mzuri)hapo watabainishwa kadhaa .jambo jingine ni katika kusimamia majukumu kuna watakao on a kazi ni ngumu na watajiengua na hii sasa itampa Rais kufanya teuzi ambazo Hana shinikizo nazo tena za ki siasa wala lawama
Wale ambao walikuwa hawajaelewa kinachoenda kutokea basi ni swala la muda tu wengi wataondoka bila Malipo na wengine watajiondoa kwa kushindwa na hawatakuwa na pa kudai wala kulaumu
Kama hukuuelewa mpango huu wa kisayansi basi tukutane baada ya mwaka mmoja kuanzia leo