tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
Watu waadhibiwe chini ya Sheria, kanuni na taratibu. Kuadhibu mtu kinyume cha Sheria kunaweza kusababisha uonevu wa kusingiziwa.Taratibu, tutaona rangi halisi za wanafiki waliokuwa wanaimba mabadiliko.
Hivi mtu anayesimamia kitengo 'kilichopeteza' makontena 11,000 unamfanyaje? Unamuacha ofisi wakati uchunguzi unaendelea?