Basham
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 743
- 433
- Thread starter
- #101
Huyu jamaa alileta uzi huu akidhani wote ni Kidumu cha mapinduzi, kidumuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! Some people can digest issues before making an applause! Mimi sijawahi kumshangilia mkuu wa lolote maana naona mapungufu mengi kwa kila anachokifanya!
Ata kama upo upinzani mkuu lakin yy ndo mwenye panga, Kumbuka kelele za chura hazimzuii cow kunywa maji