Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
usiwe na wasiwasi, huenda aliondoka kwa figisu na ndo maana bado wanamtaja/mshitaki, huenda anautetezi utakaookoa makumi ya wanyonge kama yeyeMitano tena!
Masikini sipati picha huyo doctor huko aliko ana hali gani muda huu... Pengine hii taarifa wameipata familia yake kabla yeye hajaipata