jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
Anaweza kutumia terrorism halafu kukawa hakuna ushahidi wa moja kwa moja wa kumuhusisha,tutamvamia?Mkuu Coalition yetu bado hujaiona tu? Hujasikia kemeo toka kwa Obama? Hiyo ni coalition tosha. Pia usidhani kwamba Museni yupo saaaana na Kagame. Majeshi ya nchi hizi mbili yalishapimana nguvu wakati wakigombea utajiri wa Congo. Kagame alionyesha kutomsikiliza mentor wake akamuonyesha kiburi hadi majeshi yao kupigana. M7 akipata nafasi tu ata revenge! Urafiki wao ni wa mashaka. Ndani ya Rwanda kuna kutoridhika kwingi. Wafuasi wa Ingabire na Nyamwasa nao wanatafuta opportunity, FDLR nao wapo! Mzee tusiende huko. Kagame atulie tu amalize uongozi wake kwa amani kisha apumzike asitake kuleta mbungi.