Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
Kwa kweli nimeshindwa kuendelea kusoma baada yakuona utumbo mtupu...
na ni mambo kama haya huwa wanasomeana misikitini kila ijumaa..upuuzi wa hali ya juu kabisa...tukio la jana mkuu wa nchi alitoa kauli nyepesi sana iliyoashiria yeye ni muumini mzuri wa ghasia zinazoendelea