Rais Kikwete anavunja Baraza la Mawaziri lini?

Hiyo mpaka magufuli akiapishwa linavunjika lenyewe.hivi mnajua ikitokea dharura hata kesho bunge linakaa tena watalaa hata waliopoteza katika kura za maoni
 
Napenda kujua jamani kama rais amesha tangaza siku atakayo vunja baraza la mawaziri jamani msaada kwenye tuta pliz...................................
 
Nashangaa Membe kila siku namuona anaitwa waziri wa mambo ya nje na wenzie,sijui Kikwete anafikiria nini.
Yote sababu ya balaa la UKAWA na Lowassa.
 
Wadau naomba kujua ni kwanini JK amemaliza muda wake lakini havunji baraza la mawaziri? Hii imekaeje
 
.
Mbona miaka mingine kwa kipindi kama hiki huwa baraza limevunjwa? Je,shughuli za serikali huendeshwa na nani?

Jamani tuongee kqa ushahidi hakuna hata mwaka mmoja baraza la mawaziri kuvunjwa kwa ya uchaguzi,miaka yote pale rais anapotangaza baraza jipya ndipo mawaziri wa serikali iliyopita muda wao unakuwa umekwisha
 
Mnamatatizizo kweli. Bendera fuata upepo. Duniani kote mawaziri huendelea kuwepo ofisini mpaka siku wakikabidhi ofisi Kwa serikali mpya. Mmelogwa? Hata hili halijulikani kwenu. Ndio maana mko hivyo.
 
Wadau,

Naomba mnieleweshe kuhusu utaratibu wa kuvunja Baraza la Mawaziri baraza linabidi kuvunjwa siku ngapi kabla ya uchaguzi?

Vilevile vipi kuhusu uchaguzi uliopita, Baraza lilivunjwa siku ngapi kabla ya uchaguzi? Na kama Baraza la mawaziri bado halijavunjwa, ninavyoelewa najua mawaziri pamoja na raisi bado ni viongozi wa watanzania pasipo kujali itikadi za watanzania.

Sasa kwanini raisi na mawaziri wameingia kwenye kampeni ilihali bado hawajasitisha majukumu yao?Nina wasiwasi wakuu kwamba, hakuna uwezekano wa raisi au waziri kutumia madaraka yake kwa maslahi ya chama?
 
Inasikitisha sana iko wapi ile jamii forums ya zamani..Kwani imevamiwa na vilaza hawajui nyuma wala mbele na hawataki kuuliza..Hebu kasomeni katiba ya mwaka 77 ya JMT na mtajua kikomo cha mawaziri na mtu anaambiwa gazeti la serikali anasema Dailynews.. Hivi huko shuke mnasoma nini wadogo zangu?kwani mnatia aibu na Jamii forums siku hizi yatia kichefuchefu

Unailaumu JF au members wake? Au JF in terms of members wake?
 
Za siku wana Jamvi....

Mwenzenu nataka kujua ni lini Baraza la mawaziri la Mh. Kikwete litavunjwa?

Kikatiba inatakiwa baraza livunjwe lini? maana naona jamaa wapo mpaka leo, sijajua ni nini mpango wake....
Napata wasiwasi sana juu ya hili, mtashangaa mpaka tunaingia kwenye uchaguzi bado ni mawaziri tu...
 
Za siku wana Jamvi....

Mwenzenu nataka kujua ni lini Baraza la mawaziri la Mh. Kikwete litavunjwa?

Kikatiba inatakiwa baraza livunjwe lini? maana naona jamaa wapo mpaka leo, sijajua ni nini mpango wake....
Napata wasiwasi sana juu ya hili, mtashangaa mpaka tunaingia kwenye uchaguzi bado ni mawaziri tu...

Soma katiba acha uvivu
 
Wanabodi,

Inashangaza mtu anayejiita muadilifu kuendelea kungangania wizara wakati zaid ya miezi mitatu sasa hajagusa wizarani..huku akiendelea kula mishahara na malupulupu yote wa waziri??


Huu ni wizi wa wazi wazi wa kodi zetu .
Huu ni UKURUNZINZA.


Hata kama JK hajavunja baraza la mawaziri, mtu muadilifu alitakiwa achukue hatua za kiadilifu kujiuzuru kuliko kuendelea kutumia pesa zetu isivyo halali. Wakati sisi malofa usipoonekana kibaruani siku 3 tu..huna kazi!! Huyu jamaa HATUFAI
 
Wanabodi,

Inashangaza mtu anayejiita muadilifu kuendelea kungangania wizara wakati zaid ya miezi mitatu sasa hajagusa wizarani..huku akiendelea kula mishahara na malupulupu yote wa waziri??


Huu ni wizi wa wazi wazi wa kodi zetu .
Huu ni UKURUNZINZA.


Hata kama JK hajavunja baraza la mawaziri, mtu muadilifu alitakiwa achukue hatua za kiadilifu kujiuzuru kuliko kuendelea kutumia pesa zetu isivyo halali. Wakati sisi malofa usipoonekana kibaruani siku 3 tu..huna kazi!! Huyu jamaa HATUFAI

......umetisha kwa hoja, una busara kwelikweli...!
 
Kweli hoja hii ni muhimu. Hivi Mawaziri siyo watumishi wa umma? Au sheria ya kujiuzulu pale unapoteuliwa kugombea nafasi ya kisiasa haiwahusu wao????
 
Back
Top Bottom