Rais Kikwete anavunja Baraza la Mawaziri lini?

alitangaxa juzi havunji hadi siku Siku anaapishwa Dr Magufuri hataki ujinga
 
Mbona katiba inaeleza wazi jambo hili. Mawaziri wataacha uwaziri wao mpaka siku rais mpya anaapishwa. Tuwe tunasoma jamani sio kika kitu tuwe tunaambiwa tuu.
 
Kumbuka hotuba ya braza ya mwisho kwenye bunge alisema kwanza tarehe 20 aug halafu akasema Sept. na baadaye kabla ya kuhitimisha yote akaamka akasema tarehe 20 oct. kama nadanganya nipigwe ban kama nasema ukweli mtoe yote yaliyotolewa wakati bunge linafungwa. alisimama akakaa kasimama. Je angekuwa Lowasa yangesemwa mangapi kuhusu kichwa chake. Sina chama ila sitaki kuwa biased nasema ukweli naomba wale waliorecord hotuba ya JK bungeni wakati analisifia na kulihairisha waangalie kila kitu bila kuedit. Was he reading or just dreaming? Where are his assistances. Mbona wabunge wameshakuwa wakuu wa wilaya kama Assumpta mshama mama mipasho na wengine. We acha tu.
 
Tatizo letu vijana tuliowengi tunashabikia siasa ila hatusomi vitu vinavyohusiana na siasa someni katiba ya nchi ibara ya 57 Ibara ndogo ya 2. inaeleza wazi kabisa juu ya suala hili
 
Makatibu wakuu wa wizara.

Akili ndogo, majukumu ya waziri katika serikali na ya katibu Mkuu ni tofauti kabisa ni sawa na useme Rais aachie madaraka kwa katibu mkuu kiongozi. Hivi akitokea mwendawazimu kama yule mama wa Malawi akataka kuchukua sehemu ya nchi yetu katibu mkuu atatangaza Vita kikatiba? Hebu acheni uchaga kwenye maslahi ya taifa.
 
KATIBA GANI Ya Kijinga Kiasi Hicho!! Ndio Maana TUMESEMA MAWAZIRI Wasitokane Na Wabunge!! Mmekataa RASIMU Ya WARIOBA!! Leo Waziri Lazima Mbunge, Na Wkt Huo Huo, Muda Wa BUNGE UMEFIKIA TAMATI!! Na Bunge LIMEVUNJWA, Lkn Waziri Bado ANAFANYA KAZI Zake Kama Kawaida!! Sasa KATIBA Gani Ya Aina Hii!!!!!!!!???
 
Ndio JF ya siku hizi imejaa where we dare talk openly lakini wameishia kulamba peremende za Jambazi sugu walilolinunua kutoka kwenye gunia la Mbowe. khe khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wakuu nashindwa kuelewa nini mantiki ya rais wangu kuto kulivunja baraza la mawaziri, tunamaliza wiki sasa tangu kampen ianze mawaziri wanatumia nafasi za uwaziri wao kuomba ubunge na wengine wanatumia uwaziri wao kuombea u rais. Na bunge halijavunjwa mpaka sasa licha ya ahadi Kuwa litavunjwa tarehe 20/8/2015 lakin mpaka sasa wabunge wanautumia ubunge wao kuusaka ubunge hivi nchi hii ninani katurogaaa
(f) Ukiwadia wakati wa Rais mteule kushika madaraka ya rais basi mara tu kabla rais mteule hajashika madaraka hayo;
Jibu umebandikiwa hapo kwenye Post yako
Rais aliwaambia Wabunge Pale Bungeni kuwa shughulizao za kiuwakilishi ni mpaka hapo Uchaguzi mkuu utakapofanyika na kuwapata wengine
vivyo hivyo Madiwani na Mawaziri wanaendelea mpaka hapo au kafariki au hakuchaguliwa kuendelea
Magufuli nii Waziri wa Ujenzi bado
 
Hivi Magufuli aliwahi kujiuzulu kabla hajaanza kugombea urais? Je, ni halali waziri aliyeko madarakani kugombea urais?
 
Wakuu nashindwa kuelewa nini mantiki ya rais wangu kuto kulivunja baraza la mawaziri, tunamaliza wiki sasa tangu kampen ianze mawaziri wanatumia nafasi za uwaziri wao kuomba ubunge na wengine wanatumia uwaziri wao kuombea u rais. Na bunge halijavunjwa mpaka sasa licha ya ahadi Kuwa litavunjwa tarehe 20/8/2015 lakin mpaka sasa wabunge wanautumia ubunge wao kuusaka ubunge hivi nchi hii ninani katurogaaa

Mkwele kazoea kuvunja NAZI hilo baraza hata hajui ataanzaje kulivunja,anasubir CONSULTANT
 
Back
Top Bottom