Rais Kikwete amfunika 50 cent (Picha)

Kwani kuna ubaya kupiga picha na mwafrika mwenzio? Sijaona kosa la Jeykey hapa kupiga picha na aliopiga nao picha, tuwe na fikra chanya majirani zangu sio kila wakati kila kitu basi tunakuwa na fikra hasi tuuuuuuuuuuuuu. Cha kujadili hapan ni kilichompeleka huko US na hotuba aliyoitoa kwenye mkutano wa umoja wa mataifa na pia kwenye mkutano wa DACOTA. Haya mambo ya kujadili picha yapunguza credibility za great thinkers!!
 
50cts does not need to talk anything...

Unajua how much he worth? 450million US Dollars; Yaani zaidi ya Bajeti ya Serikali ya Tanzania...

unajua budget ya tz ni kias, sasa $450m which is equiv to TZS 600 Bn, while our budget its trilion somethn, wewe wa wapi?
 
Rais wetu Handsome jamani...

Mxxxxwww! Huo ni msonyo mrefu! Unatusaidia nini huo u handsome wake? Si bora ungekuwa mwanga utumulikie kwenye hili giza! Kwani tunaula huo u handsome? Au ndio unatupunguzia mfumuko wa bei! Ndio maana Nyerere alisema anayemwona mzuri akanywe nae chai!
 
Gazeti la nipashe ukurasa wake wa mwisho leo umetoa picha ya rais wa tz akiwa na rapa 50 cent. Nikajiuliza rais akikutana na mtu kama huyo wanakuwa wanazungumzaa nn?uwekezaji katika sekta ya sanaa Tz?au kitu gani?

Mr, Kumbakumba, naomba nikuulize (mzaa, ni nn?
 
Jamani angalieni hiyo picha vizuri halafu mnisahihishe.
Ninachokiona ni kwamba hiyo picha imetengenezwa! Sio ya kweli, Angalia pale walipo gusana pamoja na mkono wa kushoto wa JK Kwenye hiyo picha, kunatofauti kubwa.

Ni kweli kuna kautata kwenye hii picha. Nimefuatilia kwa makini. Kama ulivyosema, kuna kitu kiko mkono wa kushoto wa JK pale anapokutana na 50 Cent. Hilo doa au kaupapi hakaeleweki kamekuwaje pale....... Au pengine ndivyo picha ilivyotoka.
 
x2_86970ba
Tanzanians have every reason to worry about priority of their President!
 
Gazeti la nipashe ukurasa wake wa mwisho leo umetoa picha ya rais wa tz akiwa na rapa 50 cent. Nikajiuliza rais akikutana na mtu kama huyo wanakuwa wanazungumzaa nn?uwekezaji katika sekta ya sanaa Tz?au kitu gani?

Mr, Kumbakumba, naomba nikuulize (mzaa, ni nn?
 
$1 = tzs.1650

Hivi jamani rais hua watu wengine wanafikiria kua sio binadamu wa kawaida. Fuatilia CV ya Nelson mandela baadae utaona amepiga picha na mastar wangapi. Wachen kuzungumza no sense na kama una maoni ni vizuri ukawaachia watu kujadili kuliko kuwalazimisha watu kukubaliana na mawazo yako.
 
Bigup baba Riz1, umeeandika historia ya kupiga picha na mwanahiphop wa kimataifa.
 
Ushamba umekujaa. Wewe unafikiri kuwa President ni kuwa formal na kukutana na viongozi tu basi? Ulikuwa wapi usione kwamba hata Mzee Mandela alikuwa akifanya hivyo hivyo na hata Obama?

kumlinganisha mandela na kikwete ni uchizi, wasanii huwa wanaenda sauzi kumsalimia madiba na wanaomba kupiga picha nae, tatizo la kikwete anajipeleka kwa wasanii wakubwa na kubembeleza kupiga picha nao, anatia aibu huyu mcheza kiduku.
 
Msichonge sana 50 anafanya kazi na mashirika mbali mbali ka WFP kutoa misaada africa so JK yupo kikazi zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom