Patriote
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 1,718
- 1,047
Hivi kwa jinsi matatizo yetu yanavyorundikana siku had siku we unadhani Rais anafkiria hata kuyatafutia ufumbuzi??kama Rais anashangaa na hajui kwann watu wake ni maskin we unadhani kunaufumbuzi hapo??So we jua tu kuwa muda mwingi alionao ni wakufanya mambo ya kipuuz puuz na show off kama hizo ambazo hazina tija kwa Taifa. Nadhani kwenye katiba mpya itabidi tuainishe safari muhimu zenye hadhi ya kuhudhuriwa na Rais maana huyu bwana hata birth day ya 50 Cent anaweza akaenda kuadhimisha nae kwa gharama ya kodi zetu.Hii ni picha ya lini?? Yaani anapata mda wa kuuza sura.?