POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
Nawashangaa JK ana siri gani? Labda za mamiss.....!
ha ha ha tena zile message na cominication zinazoenda kwa Lundenga na makuwadi wote wa Clous FM kina...
Nawashangaa JK ana siri gani? Labda za mamiss.....!
Hata akiwa nazo anaweza akazitoa mwenyewe huku anacheka chekaNawashangaa JK ana siri gani? Labda za mamiss.....!
Nawashangaa JK ana siri gani? Labda za mamiss.....!
nchi za kiarabu zimepiga marufuku blackberry sababu ya mambo haya haya even ukipiga picha jamaa wanaona,
Saudi Arabia is to prevent the use of the Blackberry-to-Blackberry instant messaging service.
Both nations are unhappy that they are unable to monitor such communications via the handsets.
usiri wa bb ni kwa sisi wenye technolojia ndogo lakini kwa wao waliozitengeneza na kudhibiti technolojia hii wanajua kila kitu na wakitaka kufanya chochote wanawezaKatika taifa lilokua kiteknolojia dunia basi USA ni mojawapo
Walikaa wataalamu na kumshauri rais wao kuwa the most secured kilonga longa ni BB halafu ninyi mnakuja na hadthi gani hapa.
Kwanza simu za mkononi maraisi hawazitumii kwa shughuli za kiofisi zaidi ya mambo yao binafsi.
Hizo zote mnazosema hapa ni propaganda za wapinzani wa BB, when it comes kwenye usalama na usiri basi BB ni baba yao, trust me
usiri wa bb ni kwa sisi wenye technolojia ndogo lakini kwa wao waliozitengeneza na kudhibiti technolojia hii wanajua kila kitu na wakitaka kufanya chochote wanaweza
Acha siasa kwenye Techno hama Unachobisha nakua ckuelewi> Simu anayotumia Obama umeona wapi Verify. kuna info nyingi sana zilivuja kwa kina zito sababu ya ushenzi huo huo wa BB naona unaleta mchezo ww. Call and sms interception inawezekana kwa cmu yoyote na kwa mtandao wowote lakini kwa BB hakuna haja ya kuinstall soft ya cll interception ndugu habari zinavuja kama huna akili nzuri.Obama ana Blackberry, lakini yake iko modified na anaweza kuwasiliana na watu 10 tu.