Rais anapotumia blackbery kweli anatambua mfumo wa mawasiliano yake na udhibiti wa siri zake?

Acha siasa kwenye Techno hama Unachobisha nakua ckuelewi> Simu anayotumia Obama umeona wapi Verify. kuna info nyingi sana zilivuja kwa kina zito sababu ya ushenzi huo huo wa BB naona unaleta mchezo ww. Call and sms interception inawezekana kwa cmu yoyote na kwa mtandao wowote lakini kwa BB hakuna haja ya kuinstall soft ya cll interception ndugu habari zinavuja kama huna akili nzuri.

LRp34.jpg
 
Back
Top Bottom