Nimekua bega kwa bega na mhe.Rais but sasa naona ananiangusha! Flashback baadhi ya maMP washawahi kutoka mjengoni wat did it mean! siku izi kila mtu anafanya jambo la wajib wake kwa interest zake! hii ni mbaya sana tz inakoelekea ni unpredictable....!
Kuwa bega kwa bega na Mh. Rais maana yake nini? Je wewe ni mmoja wa wanafamilia wake?