Rais Anapoacha Kuhutubia Siku ya Uhuru......Inaashiria nini?

toa hoja sio kukashfu tu, what do me mean by saying you are not normal? you must emancipate from mental slavery.
 
Labda alihisi Chadema wapo na akianza hotuba tu wataondoka na kumwaibisha mbele ya mapresda wenzake. Hahahaha,
 
shekhe yahya atakuwa amemwambia yule ''shetani'' yupo mitaa ile na akiendelea kuhutubia ataanguka.

Sidhani kama alikuwa amekwenda pale kukagua gwaride tu then atimue. Kuna kitu kitakuwa kimetokea. Nani alihutubia ule umati wa watu instead?

kweli kabisa si mnajua viongozi wetu wanavyowaamini wanajimu?
 
Wote hamjatoa jibu ni kwamba raisi kachoka toka safari ya mbali huko maubelgiji alikohudhuria mkutano. Si mnajua uchovu wa ndege hasa hizi binafsi zinavorusha au hamjapanda ndege. JK pumzika anayetaka hotuba ajiandikie na ajisomee mwenyewe . Kwa heri
 
Bora hotuba isitolewe manake wengine tunaweza kukasirishwa bure na takwimu zisizoakisi hali halisi ya wananchi mitaani. Huwa zinakidhi matakwa ya wahisani tu. Bora sherehe ziende kimyakimya tu.
 
Kwa mazoea tangu nikiwa mdogo kuna kawaida ya Rais kuhutubia siku ya uhuru. Wakati wa hotuba Rais pia alitumia mamlaka yake aliyopewa kuwasamehe wafungwa, n.k. Sasa imekuwaje mambo yamebadilika mpaka leo Rais anahudhuria gwaride tu na kuishia zake.

Je umuhimu wa sherehe ya Uhuru imekwisha??

Je kuna sherehe nyingine kubwa ya kitaifa zaidi ya uhuru??

hata mimi nilishtushwa na jambo hilo,lazima tujiulize sijui nani atatupa majibu,ndugu zangu hiki ni kitu serious siyo cha kujibu kwa mzaa,ndio tumekwisha sasa kama tunakuwa na rais ambaye atambui hata uhuru wa bendera ambao enzi hizo ulimgaribu baba yangu mpaka anakufa anasimulia.Acha bwana................................
 
Ukijulikana ni mwizi, halafu watu waksema kwa uwazi kabisa kuwa huyu ni mwizi lakini tumeamua kuendelea kuishi naye inauma kuliko kama wangekuuliza kama wewe ni mwizi au hapana. Dhamira yake itaendelea kumshtaki kila anapoenda, hana amani ya moyoni kwa vile anafahamu wazi kuwa asilimia kubwa ya watu wenye upeo mkubwa hawamtaki, na wengi walio karibu naye wanaojifanya kumwunga mkono, wanafanya hivyo kwaajili ya kuganga njaa. Anajua kila asemacho hakikosi kukosolewa, tena kukosolewa kimantiki.
 
Apoteze muda wake kuwahutubia Wadanganyika afu achelewe kwenda kula Bata!!Hii ndo ccm Bhana watu wapo Ikulu wanakula Vyuku naku drink Mawine na Mawhisky saivi nyie Mtakomea kulialia nakunung'ung'unika tu hadi siku ambapo AKILI zenu zitakapokaa sawa.
Kwani wewe umealikwa au uko getini kuwalinda.
 
Shekhe Yahya atakuwa amemwambia yule ''shetani'' yupo mitaa ile na akiendelea kuhutubia ataanguka.

Sidhani kama alikuwa amekwenda pale kukagua gwaride tu then atimue. Kuna kitu kitakuwa kimetokea. Nani alihutubia ule umati wa watu instead?

HAHAHAHAHAHAHAH!!!! YAWEZEKANA kabisa. lakini siku hizi pia amepoteza authority. anaangalia chini!!
 
Kwenye sherehe ya uhuru Rais hatoi hotuba. Anakagua gwaride tu.
 
Angalau angesalimia wananchi kidogo. This is disrespect kwa waliokuwepo uwanjani. Anyways labda anawahi Oslo mwenye Nobel award party ijumaa. Na akienda tu wachina wanakata misaada yote. Inawezekana hat a hajui how sensitive this year awards are, for Chinese.
 
Vijana wengi wanakosa kitu kinaitwa "past experience
" si mara ya kwanza sherehe za uhuru kufanyika na mara nyingi si lazima kuwe na speech. Vijana tumekuwa mateka wa siasa. Let us be critical in thinking. Habari nyingi zinachakachuliwa na watu waliosoma kwa kuchakachuliwa.
 
Something is not normal wanaJF. Inavyoonekana pengine jamaa alisusia hotuba. Kwakweli bongo mambo yanaenda kiusanii. Ingepaswa idara ya maelezo au ya mawasiliano ikulu iseme kwanini mkwere hakusoma hotuba. Lakini Mr. Rweyemamu atakua anagonga mivinjo aliyoletewa toka Ubelgiji!
 
You lack what we call past experience. It seems you education went under what we say adulturation
 
Back
Top Bottom