TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,889
- 11,285
I think your was lost in translation buddyYou lack what we call past experience. It seems you education went under what we say adulturation
I think your was lost in translation buddyYou lack what we call past experience. It seems you education went under what we say adulturation
Kwa mazoea tangu nikiwa mdogo kuna kawaida ya Rais kuhutubia siku ya uhuru. Wakati wa hotuba Rais pia alitumia mamlaka yake aliyopewa kuwasamehe wafungwa, n.k. Sasa imekuwaje mambo yamebadilika mpaka leo Rais anahudhuria gwaride tu na kuishia zake.
Je umuhimu wa sherehe ya Uhuru imekwisha??
Je kuna sherehe nyingine kubwa ya kitaifa zaidi ya uhuru??
Vijana wengi wanakosa kitu kinaitwa "past experience
" si mara ya kwanza sherehe za uhuru kufanyika na mara nyingi si lazima kuwe na speech. Vijana tumekuwa mateka wa siasa. Let us be critical in thinking. Habari nyingi zinachakachuliwa na watu waliosoma kwa kuchakachuliwa.
Kuana mambo mawili yanaweza kuwa chanzo:
1. watu walienda kuangalia gwaride akaona akianza kuhutubia watu watatoka akaabika kwa mara nyingine
2. khari ya mh. haikuwa nzuri si uliona ambulance
Mind your language buddyHivi nyie mlitaka rais Mwizi aseme nini? Kwanza anaona aibu kwa Wizi wake then asingeweza kuongea kabisa, bora alivyokacha maana daflao la leo lingekuwa bab-kubwa bora awe anaongea na Banyamulenge wake.
jioni bonge la party...kusheherekea uhuru....these crooks realy piss me off!
kwa mazoea tangu nikiwa mdogo kuna kawaida ya rais kuhutubia siku ya uhuru. Wakati wa hotuba rais pia alitumia mamlaka yake aliyopewa kuwasamehe wafungwa, n.k. Sasa imekuwaje mambo yamebadilika mpaka leo rais anahudhuria gwaride tu na kuishia zake.
Je umuhimu wa sherehe ya uhuru imekwisha??
Je kuna sherehe nyingine kubwa ya kitaifa zaidi ya uhuru??
Kuana mambo mawili yanaweza kuwa chanzo:
1. watu walienda kuangalia gwaride akaona akianza kuhutubia watu watatoka akaabika kwa mara nyingine
2. khari ya mh. haikuwa nzuri si uliona ambulance
Kwa mazoea tangu nikiwa mdogo kuna kawaida ya Rais kuhutubia siku ya uhuru. Wakati wa hotuba Rais pia alitumia mamlaka yake aliyopewa kuwasamehe wafungwa, n.k. Sasa imekuwaje mambo yamebadilika mpaka leo Rais anahudhuria gwaride tu na kuishia zake.
Je umuhimu wa sherehe ya Uhuru imekwisha??
Je kuna sherehe nyingine kubwa ya kitaifa zaidi ya uhuru??