bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
Mmojawapo anashirikiana na shemejiye wananipigia simu/sms wanatukana we eti homebreaker! wakati mie ilikuwa ni urafiki tu,tena angenishukuru kwa vile nilikuwa namtwanga injili mumewe aokoke.
ZD huyo lazima umemzidi katika nyanja mbalimbali so akawa insecured.....alimpotezea jamaa nafasi ya kuokoka which would have punguzad mastress ndani huko