Isotope, nimekuwa naichangia sana nyumbani. Ila kwa miezi miwili sasa niko nje ya nchi sijaweza kuichangia. Nilituma msg kupitia mtandao wa facebook ila pia hawajajibu. Nahisi wanasoma na kutoa majibu redioni ila kwa kuwa sisikii siwezi jua kama wamejibu. Wangekuwa wanajibu nao kupitia mtandao ningeona jibu
Wana jamvi, tangu juzi usiku
radio maria haipatikani mtandaoni. Sisi tulio nje ya nchi tulikuwa
tunaitegemea kupata angalau taarifa za nyumbani. Kuna mtu yeyote
anayejua ina tatizo gani na ni lini tutaweza kuisikia tena
wanataka kujiunga na redio "imani ya mashetani" itakayotoka jela tar 28.
kama huna cha kuchangia ni bora kukaa kimya ni ustaarabu zaidi
Wana jamvi, tangu juzi usiku radio maria haipatikani mtandaoni. Sisi tulio nje ya nchi tulikuwa tunaitegemea kupata angalau taarifa za nyumbani. Kuna mtu yeyote anayejua ina tatizo gani na ni lini tutaweza kuisikia tena
kwani hapo sijachangia?
wewe ndo unajiona unajuuuuuua!
ku** weee
unaonyesha jinsi ulivyo, kama huna cha kuchangia ni bora kukaa kimya ni ustaarabu zaidi
Wana jamvi, tangu juzi usiku radio maria haipatikani mtandaoni. Sisi tulio nje ya nchi tulikuwa tunaitegemea kupata angalau taarifa za nyumbani. Kuna mtu yeyote anayejua ina tatizo gani na ni lini tutaweza kuisikia tena
Ndugu Lokissa, nashukuru sana kwa msaada wako wenye nia njema. Napenda kukujulisha kuwa kwa kupitia maelezo yako, sasa Napata radio maria muruwa kabisa. Once again thank you very muchMkuu nenda kwa wabepage yao select live kisha utaona window media,real player nk.select which one is compatible with your pc.hata mimi nilipata tabu kuwatafuta tunein,streema etc..nadhani huko italy wanakopokea matangazo ya satelite na kurusha online ndio watakua wamefanya changes kwani radio maria ipo controlled italy.ni kwa radio maria zote duniani
jaribu hii mkuu.