fikramakini
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 247
- 60
tukio la kuvuliwa hijab unaliona dogo lakin saydina omar aliitisha jesh kwa ajili ya kuwatilisha adabu waisrael waliomvua mwanamke wa kiislam.wao wameambiwa waombe radhi ugumu uko wap kama hawakukusudia si waombe radhi yaishe
Aliye vuliwa mtandio baada ya kutenda kosa sio mwislami ... Sasa radhi waombwe waislamu ya nini.