PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,211
- 4,170
haaaaaaaaaaaa.hii muvi ya kuchinja ni kali sana naona.ndg.wa bucha ameweka mpaka mataito.haaaaaaa.bg up mkuu kwa kapicha.haaaaaaaaaaa.
haaaaaaaaaaaa.hii muvi ya kuchinja ni kali sana naona.ndg.wa bucha ameweka mpaka mataito.haaaaaaa.bg up mkuu kwa kapicha.haaaaaaaaaaa.
KUNA KITABU CHA VITA KINAITWA AHAL BADRI kilipotea mda, kwa sasa nakitoa kopi na kuwauzia ili siku mambo yakiiva walianzishe, hao unao waita mashetani
kiranga chao wanavyo yakashifu dini nyingine wanaona sawa?Redio imaan wanalalamikia viongozi wa kikristo waliohimiza waumini wao kutokula nyama iliyochinjwa na watu wa imani tofauti, wanasema hii ndio ilikua mwanzo wa mauaji huko buserere
Swali kwa redio imaan, Mi nikiamua kuchinja nyama yangu tatizo nini? Kwani nikiamua kutokula mlivochinja nyie taabu inatoka wapi?
Redio imaan wanalalamikia viongozi wa kikristo waliohimiza waumini wao kutokula nyama iliyochinjwa na watu wa imani tofauti, wanasema hii ndio ilikua mwanzo wa mauaji huko buserere
Swali kwa redio imaan, Mi nikiamua kuchinja nyama yangu tatizo nini? Kwani nikiamua kutokula mlivochinja nyie taabu inatoka wapi?
Uswe usidhan kama unaiskiza peke yako,wao wanasema kwamba kuchinja nyama na wao wenyewe (wakristo) wakaila si tatizo,ila kupeleka mabuchani ndo kutaleta mtafaruku,maana wanaweza wakanunua watu wenye hoteli then wakaenda kuwalisha waislam,
Mbona hao waislam tunakula nao white meat kwasana, kuna mashehe na ma alhaji ukiwakuta serengeti kwenye mahotel makubwa utashangaa, wanapiga kiti moto kwenda mbele
Jamaa hebu tuulizane Maswali Muhim
1. Hivi Wakristo walikua wapi Myaka yote kuijua hii Ibada ya Kuchinja?
2. Xpastor/Padre Wilbod Slaa Au Kadinali Pengo mbona wako kimya?
3. Je tuamini kwamba Dini ya Kikristo haijakamilika kisi Ibada nyingine ziwe zinavumbuliwa
Nani alimkataza muislamu kujenga shule/hospitali? MoU mnayoipigia kelele inainufaisha pia hospitali ya Agha Khan, nayo ni ya kanisa? Halafu hiyo pesa inayohusiana na MoU inatolewa na makanisa ya Ulaya hasa Ujerumani, unalijua hilo???
Anae ng'ang'ania ni huyo anaetaka kuingia kwa fitina zote na yeye achinje ikiwa hapo kabla alikuwa hachinji !
Ikiwa hiyo shughuli ni kubwa, bila shaka kanisa halina freelancers wa uchinjaji !
Ukiwa mapepo mnatolewa kwa malipo sembuse uchinjaji wa kibiashara !?
Sasa wakichinja waislamu wakaipeleka kwenye mabucha wakainunua wenye mahoteli si wanaweza wakawalisha wakristo pia? huoni kuwa hilo ni tatizo pia? Au unadhani nyama akichinja muislamu kwa dua ya kiislamu ni sahihi kwa mkristu kuila?Uswe usidhan kama unaiskiza peke yako,wao wanasema kwamba kuchinja nyama na wao wenyewe (wakristo) wakaila si tatizo,ila kupeleka mabuchani ndo kutaleta mtafaruku,maana wanaweza wakanunua watu wenye hoteli then wakaenda kuwalisha waislam,
Redio imaan wanalalamikia viongozi wa kikristo waliohimiza waumini wao kutokula nyama iliyochinjwa na watu wa imani tofauti, wanasema hii ndio ilikua mwanzo wa mauaji huko buserere
Swali kwa redio imaan, Mi nikiamua kuchinja nyama yangu tatizo nini? Kwani nikiamua kutokula mlivochinja nyie taabu inatoka wapi?
Kuna bwana anaitwa Daniel, kapiga simu na kuwaelewesha kuhusu MOU bila shaka wameelewa
Kiongozi wao akiongea kwa simu amewaambia wasipoteze muda kwa habari ya kuchinja, kama wakristo wakitaka kuchinja waachwe wachinje, cha msingi waislamu wakipange waweke nembo ktk bucha zao ili waislamu wanunue huko....simple!
Redio imaan wanalalamikia viongozi wa kikristo waliohimiza waumini wao kutokula nyama iliyochinjwa na watu wa imani tofauti, wanasema hii ndio ilikua mwanzo wa mauaji huko buserere
Swali kwa redio imaan, Mi nikiamua kuchinja nyama yangu tatizo nini? Kwani nikiamua kutokula mlivochinja nyie taabu inatoka wapi?
wewe ni mpelelezi nini?haya tuambie aliyeua ZANZIBAR ANAITWA NANI?MAANA USHAAMUA KUWA PADRI AMEUAWA NA WAISLAM,so na katubu wa mufti mlimmwagia ninyi hiyo tindikali?