Je unazijua njia za kujikinga na radi?je unaifahamu huduma ya kwanza kwa mtu aliyepigwa na radi(katika pigo la kwanza na la pili)?je unaimani yoyote inayokutatiza kuhusu radi na ungependa kujua ukweli wa kisayansi kuhusu imani hiyo.uliza ntakujibu kadri ya uelewa wangu nilio upata darasani!