Life is DIGITAL, either you die or you live. Sasa kusema samahani au naomba radhi wakati tumeshakufa kutasaidia nini? Haya mauaji ya Songea (na polisi) ni ya ngapi kutokea.
Yalifanyika Nyamongo, Arusha, Mbeya na leo Songea. Ina maana sababu hamuijui mpaka leo? Huko kwingine alisema naomba radhi? RADHI YAKO HAISAIDII KWASABABU LIFE HAS BEEN MADE to 0 state from 1 (digitally).
Yalifanyika Nyamongo, Arusha, Mbeya na leo Songea. Ina maana sababu hamuijui mpaka leo? Huko kwingine alisema naomba radhi? RADHI YAKO HAISAIDII KWASABABU LIFE HAS BEEN MADE to 0 state from 1 (digitally).