R.I.P Marco Simoncelli

mwanapolo

Senior Member
Mar 29, 2011
193
56
MotoGP leo imetokea ajali mbaya sana kwenye mashindano yaliyofanyika Malaysia, ajali hiyo ikimhusisha Marco alipo poteza mwelekeo na kuingia kny njia ya Rossi ambapo aligongwa vibaya mpaka Helmet ikavuka! Amefariki dunia hospitalin alipokuwa anapata matibabu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom