sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Nyani Ngabu ndio kaenda kumwita, vuta subira!umeona mkuu bht,hii nayo inafanya azidi kunivutia,sio mbaya mtoto wa kike akiwa na mapozi kidogo
Nyani Ngabu ndio kaenda kumwita, vuta subira!umeona mkuu bht,hii nayo inafanya azidi kunivutia,sio mbaya mtoto wa kike akiwa na mapozi kidogo
Nakuombea yasiwe magumu!asante sana sweetlady,tuko pamoja.Mambo yakiwa magumu nitakufuata tufunge wote hizo siku 7.
Yaani humu ndani kila shetani na mbuyu wake. Queen na Ngabu, Gee na ...., Bee na ....
Tunaombwa tusindikize kwa burudani.
Nyani Ngabu ndio kaenda kumwita, vuta subira!
Gaijin umenikosesha raha ghafla,ila si wako kiutani zaidi au kuna nisilolijua?
Weka sasa...
Na wewe nani kakufunza u muraa! Ni mwita Marianya huyo eeh?Weka sasa...
Leo nna kitochi hapa ni balaa bin tafrani
Hebu iweke plz
Watu mnatafuta sehemu raisi ndio mnafanya CHAGULAGA mbona kwenye mipingo kama FAIZA FOX hamfanyi CHAGULAGA?
Hapa naona wote fulu vitochi
SL hajaonana na PC mwezi wa sita huu...lol!
Hapana Mkuu wangu hujanielewa. Yaani Ngabu akikupigia chapuo basi Malkia ni wako. Ushauri wa Ngabu unathamani kubwa kwa Malkia
Hahahaha! Nikigundua kuna mbavu yangu imepata ufa utanilipia nauli ya kwenda Apolo india..Hapa naona wote fulu vitochi
SL hajaonana na PC mwezi wa sita huu...lol!
Mie pia nna kitochi, yaani nna mpango wa kuachana na kitochi mwezi wa nne...lolLeo nna kitochi hapa ni balaa bin tafrani
Hebu iweke plz
Hata Arobaini ya Regia bado... Nyie fidodido zimesimama TU!!
Waliotangulia wametangulia, waliobaki wana haki ya kuendelea na maisha.
No..no...no!
Wewe na hicho kihirizi chako huruhusiwi humu! Usijemzibia Queenkami riziki yake bure!
Haya rudi kule kwenye yako. Manake hicho kihirizi chako si mchezo. Kinadatisha wengi.
Come on now. . .
Kama jamaa amedata mpaka akaja kivingine sidhani kama anaweza akaweweseka kirahisi. Ila ikitokea ndo nzuri ili QK ajue kabisa mshkaji sio macho tu bali hata moyo haujatulia.