Kauli ya Halima mdee kwenye kampeni za kugombea ubunge mwaka 2010 kuwa James Mbatia ni kibaraka wa ccm sasa imetimia. Pia waliompinga Kafulila sasa watakuwa waamefunguka macho na maono. Hii ni baada ya James Mbatia ambaye ni mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi taifa kuchaguliwa kuwa mbunge wa viti maalumu na JK.