kiplagati26
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 305
- 135
Nimezipitia hoja za MMM ni hoja nzuri zenye malengo ya kutuongoza hapa tulipo na kule tunapoelekea je watanzania wako tayari kuyakubali mabadiliko kifikra zaidi. wakati furani sizani kama CDM kimekubali mabadiliko na kuondokana na malumbano ya kila siku na yasiyo na majibu, Tujishahihishe